Timu za Afrika zinaenda kupata aibu Kombe la Dunia Qatar 2022

Timu za Afrika zinaenda kupata aibu Kombe la Dunia Qatar 2022

Kuna baadhi zimepita kwa match fixing nahisi ni kama NIGERIA 2010 naskia walifanya match fixing ndo wakaqualify
Yaani unatoa mfano wa 2010 kwenye worldcup ya 2022 kweli mkuu huna mfano wa hiyo match fixing kwa mwaka husika?
 
Kwa matokeo ya mechi za kirafiki Kati ya timu za Africa na mabara mengine.timu za Africa zinaweza kufanya vizuri.
Belgium ya kufungwa na Egypt?
 
Back
Top Bottom