Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Timu ya JKT Ruvu ikiongozwa na Kocha Bakari Shime almaarufu Mchawi mweusi leo imerejea kwa kishindo Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania ( VPL) baada ya kuichapa kwa bao 5 -0 timu ya Afrikan Lyon.
Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu jumla ya timu 6 zitapanda daraja hadi ligi kuu wakati timu 2 zitashuka daraja.
==================
Timu za soka za Coastal Union ya Tanga na African Lyon ya Dar es Salaam zilizokuwa zinacheza ligi daraja la kwanza zimefanikiwa kupanda daraja na zitacheza ligi kuu bara (VPL) msimu wa mwaka 2018/19.
Pamoja na timu hizo timu nyingine zilizopanda daraja msimu huu ni KMC ya mkoani Dar es Salaam, Alliance ya mkoani Mwanza, Biashara United ya mkoani Mara na JKT Ruvu ya Pwani
Timu za JKT Ruvu na African Lyon zilikuwa kundi A na kumaliza kwa alama 37 na 27. Timu za KMC na Coastal Union zilizokuwa kundi B, zimefuzu kwa alama 28 na 26. Timu za Biashara United na Alliance School zilikuwa kundi C na kumaliza kwa kuwa na point 27 na 25.
Kwa mujibu wa kanuni za Ligi Kuu jumla ya timu 6 zitapanda daraja hadi ligi kuu wakati timu 2 zitashuka daraja.
==================
Timu za soka za Coastal Union ya Tanga na African Lyon ya Dar es Salaam zilizokuwa zinacheza ligi daraja la kwanza zimefanikiwa kupanda daraja na zitacheza ligi kuu bara (VPL) msimu wa mwaka 2018/19.
Pamoja na timu hizo timu nyingine zilizopanda daraja msimu huu ni KMC ya mkoani Dar es Salaam, Alliance ya mkoani Mwanza, Biashara United ya mkoani Mara na JKT Ruvu ya Pwani
Timu za JKT Ruvu na African Lyon zilikuwa kundi A na kumaliza kwa alama 37 na 27. Timu za KMC na Coastal Union zilizokuwa kundi B, zimefuzu kwa alama 28 na 26. Timu za Biashara United na Alliance School zilikuwa kundi C na kumaliza kwa kuwa na point 27 na 25.