Timu zinazocheza na Yanga hawakazi kama wakicheza na Simba

Mbona na nyie Makolo mlivokutana na Yanga mlishindwa kukaza ila mlivokutana na KMC mlikaza sana
 
Kuna tofauti unapopambana na animal na unapopambana na mtu.🤸🤸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…