NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Huwa mnatabiriaga chooni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Kuna kitu muhimu sana hukijui. Acha kukaririKwenye ustaarabu umedanganya.....maarifa yalitoka kwa wamisri yakapita kwa wagiriki,,,....waroma na hao wengine.......
Ulaya na ustaarabu wapi na wapi.Naomba rejeo linalosema ustaarabu ulianzia ulaya
Na nyie kwenu africa mlikua mnaoga mara ngapi kwa mwaka?Ulaya na ustaarabu wapi na wapi.
European walikua wanaoga mara Moja Kwa mwaka enzi hizo
Pole PISI KALI Luckyline, unaonaje nikikuletea dawa sasa ili ikutibu nyonyo isiume [emoji848][emoji87]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndo kiseme acha kulisha watu matango poriMkuu Kuna kitu muhimu sana hukijui. Acha kukariri
Mie nimekulisha kipi mkuu, nimeleta mie mada ama Kuna NiniNdo kiseme acha kulisha watu matango pori
Ha ha haNyie mpira unauma, unalipenda li team linakuangusha huna uwezo wa kuingia uwanjani basi ni kero tupu.
Mpaka nikakumbuka tulivyokuwa primary wanasema ukitaka kuroga team pinzani isifunge basi unakunja ka kidole ka mwisho kwenye mikono afu unashika kwenye nyonyo kila mpira unapokuwa kwa team pinzani, mpira ukirudi kwenye team yako unaachia ka kidole.
Tangu mpira unaanza ndo nimekunja ka kidole nimeshika kwenye nyonyo dah nina maumivu.
NaaamUlaya ndiyo wakali wa kila kitu, siyo tech, siyo mpira, ustaarabu wa Dunia hii umeanzia Ulaya wpende ama uwachukie huo ndio ukweli, Yaani kila kitu.
Japokuwa hawana vipaji kama nchi za South America, lakini Europe wamejaliwa kitu muhimu zaidi kuliko vyote, akili. Ukicheki mpira wa Croatia vs Brazil ndiyo utajua kuwa ukiwa na akili basi utashinda kila kitu.
France anatolewa piaSema tu bingwa atatoka ulaya possibly atakua France tena
Bora hata Ufaransa apiteFrance anatolewa pia
Sasa ulilalamika niniMie nimekulisha kipi mkuu, nimeleta mie mada ama Kuna Nini