February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Tofauti ni kuwa wazungu walifanya hayo miakamia saba iliyopita, wakati morroco wanasema hayo sekunde hii.Wazungu waliwatesa babu zetu na bibi zetu na kuwadhalilisha na wakaiba mali zetu ila bado watu wana washobokea ila MORROCO kisa hajaitaja Africa tu kuna ng'ombe zilikuwa zimeshaanza eti ni wabaguzi lakini utasikia nipo ENGLAND na France waafrika kweli tumelaaniwa sio bure