Timu zote 4 zitakazoingia nusu fainali Kombe la Dunia zitatoka Ulaya

Sema tu bingwa atatoka ulaya possibly atakua France tena
 
Ha ha ha
 
Naaam
Umekula ngadu sasa

Moroco kapita
 
Wazungu waliwatesa babu zetu na bibi zetu na kuwadhalilisha na wakaiba mali zetu ila bado watu wana washobokea ila MORROCO kisa hajaitaja Africa tu kuna ng'ombe zilikuwa zimeshaanza eti ni wabaguzi lakini utasikia nipo ENGLAND na France waafrika kweli tumelaaniwa sio bure
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…