Timu zote 4 zitakazoingia nusu fainali Kombe la Dunia zitatoka Ulaya

Tofauti ni kuwa wazungu walifanya hayo miakamia saba iliyopita, wakati morroco wanasema hayo sekunde hii.
 
Bado hujafuta tu uzi wako
 
Vipi unajionaje sasa. Sura imeshakukauka kama ngozi wa tembo
 
Hebu rudia tena
 
Kweli kabisa,
Argentina ipo ulaya, Morocco ipo ulayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£, yaani afrika ni wastaarabu kuliko hata hao mabwana zenu
 
Kweli kabisa,
Argentina ipo ulaya, Morocco ipo ulayaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£, yaani afrika ni wastaarabu kuliko hata hao mabwana zenu
Afrika vikongwe wanabakwa, albino wanauawa, watoto wanazalishwa, halafu unasema Kuna ustarabu?
 
Wachezaji wa Brazil wanaendekeza matumbuizo kiwanjani badala ya kufunga mabao na kushinda mechi.

Neymar na Antony wakipata mpira wanataka wawachenge wapinzani wao wote kitu ambacho hakiwezekani kbsa.
 
Ha haa πŸ˜‚
Timu gani hiyo imekuangusha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…