Sandaland!? Hahaha!Hizi ndio akili zinazohitaji kutawaliwa tena na wazungu,
Kwa hio wew kwako inabidi uvalishwe na Nike, Puma na Adidas kujiona umevaa? Hao Nike walianza tu na kujulikana dunia nzima ?
Badala ya kulalamika kwann kampuni za Africa haziwavalishi waAfrica wew unalilia kuvalishwa na Nike 😂 unatia huruma sanaaa
Soma kitabu cha Phil Knight mwanzilishi wa Nike uone Nike ilivyoanza, hakuna mbuyu ulianzia juu, just wait, Sandaland akikaza hapa bongo atazidi kujitanua tu soon utasikia yupo na TP mazembe, mara kaenda Gor mahia, wasipokaa sana wanamkuta Al Marreikh, so ni muda na dhamiraSandaland!? Hahaha!
Huyo Sandaland wenu anamiliki kiwanda, au ndiyo yale mambo ya kwenda China na kusagula midosho, na kuwaletea mvae?Jersey nzuri ya Algeria? Wew huangalii AFCON,
Umeona uzi wa cape Verde,
Kwa hio sandaland pale kwa stars humuoni?
Wew kwa kifupi hujielew
ukiachana na hinonga nani mwingine anapiga kitaulo kwenye timu ya drc?Congo wazee wa pamba na kujikoboa wamevalishwa na nani?
Wale ukiwapa sandaland wanasusa
Tanzania hujaona MO- ENERGY kwapani pale?Naona timu zote zinazoshiriki michuano ya Afcon jezi wanazotumia chata ni Puma, kasoro Algeria tu.
ao wapo na chata ya Adidas na ndio jezi nzuri zaidi kwenye mashindano haya.
Tanzania sijaona chata yoyote. Namibia ndio jezi mbaya zaidi.
Kwani hiyo sandaland inatengenezwa Tanzania kiongozi wangu? Huyo ni wakala tuu wa mchina.Hizi ndio akili zinazohitaji kutawaliwa tena na wazungu,
Kwa hio wew kwako inabidi uvalishwe na Nike, Puma na Adidas kujiona umevaa? Hao Nike walianza tu na kujulikana dunia nzima ?
Badala ya kulalamika kwann kampuni za Africa haziwavalishi waAfrica wew unalilia kuvalishwa na Nike 😂 unatia huruma sanaaa
Congo wazee wa pamba na kujikoboa wamevalishwa na nani?
Wale ukiwapa sandaland wanasusa
Nioneshe kiwanda kimoja cha Nike, Puma au Adidas na mimi nikuoneshe mbuzi mwenye mabawaHuyo Sandaland wenu anamiliki kiwanda, au ndiyo yale mambo ya kwenda China na kusagula midosho, na kuwaletea mvae?
Hujaona KAPPA kwa tunisia?Naona timu zote zinazoshiriki michuano ya Afcon jezi wanazotumia chata ni Puma, kasoro Algeria tu.
ao wapo na chata ya Adidas na ndio jezi nzuri zaidi kwenye mashindano haya.
Tanzania sijaona chata yoyote. Namibia ndio jezi mbaya zaidi.
Mifumo ya nchi haisapoti hilo. Marekani mfumo wa nchi ulimpa Nike fursa hiyo.Soma kitabu cha Phil Knight mwanzilishi wa Nike uone Nike ilivyoanza, hakuna mbuyu ulianzia juu, just wait, Sandaland akikaza hapa bongo atazidi kujitanua tu soon utasikia yupo na TP mazembe, mara kaenda Gor mahia, wasipokaa sana wanamkuta Al Marreikh, so ni muda na dhamira
O'neil brand moja ya gharama toka Ireland 🇮🇪Congo wazee wa pamba na kujikoboa wamevalishwa na nani?
Wale ukiwapa sandaland wanasusa
Hajielewi kweli we useme timu zote kasoro Algeria then useme Taifa staz huoni chochote kwwnye uzi wao au T.staz hawako AfconJersey nzuri ya Algeria? Wew huangalii AFCON,
Umeona uzi wa cape Verde,
Kwa hio sandaland pale kwa stars humuoni?
Wew kwa kifupi hujielew
Wazee wa mkologo inonga na litomboCongo wazee wa pamba na kujikoboa wamevalishwa na nani?
Wale ukiwapa sandaland wanasusa
Wazee wa mkologo inonga na litombo