Timu zote AFCON jezi ni Puma kasoro Algeria!

Timu zote AFCON jezi ni Puma kasoro Algeria!

Naona timu zote zinazoshiriki michuano ya Afcon jezi wanazotumia chata ni Puma, kasoro Algeria tu.

ao wapo na chata ya Adidas na ndio jezi nzuri zaidi kwenye mashindano haya.

Tanzania sijaona chata yoyote. Namibia ndio jezi mbaya zaidi.

Tunisia hawavai jezi za Puma. wanavaa jezi za chata Kappa
 
Uzi wa Tz ndo kiboko yao, kitu cha Fredy Vunjabei...nini Puma wala Adidas🤣
 
Uzi wa Tz ndo kiboko yao, kitu cha Fredy Vunjabei...nini Puma wala Adidas🤣
 
Naona timu zote zinazoshiriki michuano ya Afcon jezi wanazotumia chata ni Puma, kasoro Algeria tu.

ao wapo na chata ya Adidas na ndio jezi nzuri zaidi kwenye mashindano haya.

Tanzania sijaona chata yoyote. Namibia ndio jezi mbaya zaidi.
Sandaland the only one!
 
Sandaland nani anaijua nje ya Kariakoo, nazungumzia chata zenye akili. Mimi Uzi wa Cape Verde nimeuelewa, lakini wa Algeria ndo naona uko poa sana hauna mambo mengi. Zote walizotumia hasa jezi ya leo dhidi ya Mauritania

Mashabiki wa kibongo wengi wao wanapenda majezi yenye madoidodoido
Jersey nzuri ya Algeria? Wew huangalii AFCON,
Umeona uzi wa cape Verde,
Kwa hio sandaland pale kwa stars humuoni?

Wew kwa kifupi hujielew
Uzuri wa jezi ubebe na kombe, mfano Argentina ana jezi nzuri wakatwaa na ubingwa.

Haya cape verde wametolewa na mijezi yao
 
Back
Top Bottom