Tinted za kimarekani kwenye gari tunazipenda lakini zinahitaji uvumilivu tu kwakweli

Wanaoweka tint vioo vya mbele hawaweki huo uchafu unaitwa american tinted, kuna special tint za kuweka kioo cha mbele gharama yake kwa kioo cha mbele siyo chini ya 80,000 tzs, mimi nimeweka na ninaona vizuri tuu usiku
Zinaitwaje hizo?
 

Window tinting serves several purposes. Here are a few common uses of window tint:

1. Heat and UV Ray Reduction: Tinted windows can help reduce the amount of heat and harmful ultraviolet (UV) rays entering a vehicle making the interior more comfortable and protecting against sun damage.

2. Glare Reduction: Window tinting can minimize glare from sunlight, headlights, and other bright sources, improving visibility and reducing eyestrain.

3. Privacy and Security: Tinted windows provide increased privacy by limiting the view into a vehicle or building. They also make it more difficult for potential thieves to see valuable items inside.

4. Energy Efficiency: By reducing heat transfer through windows, tinting can help lower cooling costs in buildings and decrease the workload on air conditioning systems.

5. Aesthetics and Style: Window tinting can enhance the appearance of vehicles and buildings, giving them a sleek and sophisticated look.

It's worth noting that regulations regarding window tinting vary by jurisdiction, so it's essential to comply with local laws and regulations when considering window tinting for your vehicle or property.
 
Kifupi mimi bianfsi Tinted ni kwa kioo cha nyuma na vioo vya milango ya nyuma tu,kwa dereva siweki wala mbele,maana mara nyingi huwa nasafiri usiku,usijidanganye kuwa kuwa tinted ni salama,usiku hata ukiwa hujaweka tinted uonaji unakuwa sio mzuri,mfano kukiwa na ukungu,mvua au kutembea barabara ambayo haina mistari ya katikati au pembeni,kupata ajali na gari ya full Tinted ni rahisi sana,au vingenevyo kama mleta mada anavyosema labda uwe una nyata...
 
But can lower the visibility!
 
si wanunue bastola
 
 
Kutoroshea mademu wa chuo,wake za watu na kunyandulia humohumo.
 
Wanaoweka tint vioo vya mbele hawaweki huo uchafu unaitwa american tinted, kuna special tint za kuweka kioo cha mbele gharama yake kwa kioo cha mbele siyo chini ya 80,000 tzs, mimi nimeweka na ninaona vizuri tuu usiku
Nano Ceramic Hiyo, Wengi Wanaobwabwaja Wameweka bila Kufanya Utafiti
 
Watanzania huwa hatufanyi research ya kutosha. Hakuna hata mmoja aliyetaja shade level. Zipo, light, medium, dark, very dark mara nyingi zinakuwa rated kwa percentage % i.e 5%, 35%, 70% etc kuendana na kiwango cha mwanga ambao inaruhusu. Namba za juu 70, 80 ni light, unavyoshuka zinakuwa dark. 5% ndio darkest (limo tint)



Kabla hatujafika kwenye shade levels tint zipo aina tofauti tofauti. Kuna

Dyed tint - cheapest

Metalized - affordable

Carbon - medium

Ceramic - most expensive



Zote hizi zinapatikana kwa shade levels tofauti. Na zitakupa matokeo tofauti kuendana na ubora wa tint. Carbon na ceramic zina best heat rejection, uv protection, durability plus visibility.


Vioo vya mbele(driver and passenger side) inashauriwa kuweka 35% kuenda juu. Kwa ceramic na carbon hautapata shida kuona usiku . Windshield 70% au 80%
Kama unapata shida kuona, then haukuzingatia any of the above
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…