- Thread starter
- #21
American tinted ikifika usiku unaweza ukajikuta unatembea na gari huku umeshusha vioo🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
American tinted ikifika usiku unaweza ukajikuta unatembea na gari huku umeshusha vioo🤣
vioo vyeusi ama tinted hizi zilizoeleka sana kwa magari ya VIP nchi za wenzetu lakini pia mbali na kufanya aliyepo ndani ya gari watu wa nje wasimuone inasaidia pia kupunguza mionzi au mwanga wa jua ndani ya gari.Tuseme tu ukweli! Ka tinted! ni kaugonjwa ketu wengi!
Sina maana huu uzi niwakuwatambia hapana; siyo lazima niwe na kagari ili kuifurahia tinted, bali hata napopewa lift tu madhila, kero na utamu wa tinted huwa unaonekana!
Faida ni nyingi lakini swali mbona huko tunakoyanunua wao hawaweki tinted inamaana hakuna vibaka?vioo vyeusi ama tinted hizi zilizoeleka sana kwa magari ya VIP nchi za wenzetu lakini pia mbali na kufanya aliyepo ndani ya gari watu wa nje wasimuone inasaidia pia kupunguza mionzi au mwanga wa jua ndani ya gari.
Kama nilivyosema faida zake 2 nazozifahamu ni hizo ila hii ya kuweka kioo cha mbele wind screen kiukweli ni hatari maana kama ulivyosema kuona ni shida.Ila pia kuweka tinted sana nayo ni hatari maana wajamaa wakikuvizia ndani ya gari umekwisha.Hakuna atayekuona japo muda mwingine pia huondoa usumbufu wa aliyeko nje kuweza jua nani yupo ndani ya gari hasa hawa dada zetu kuonewa na vibaka maana wakijua ni wadada huwaibia.
Kuna baadhi huwa yanakuja kioo chake tayari ni tinted na huwa ni vioo vya nyuma hasa nakumbukia Nissan Patrol model ya 1996 na hata harrier za 2010 vioo vya nyuma zinakuja ni tinted ndani ya kioo kabisa.Faida ni nyingi lakini swali mbona huko tunakoyanunua wao hawaweki tinted inamaana hakuna vibaka?
Kuna baadhi huwa yanakuja kioo chake tayari ni tinted na huwa ni vioo vya nyuma hasa nakumbukia Nissan Patrol model ya 1996 na hata harrier za 2010 vioo vya nyuma zinakuja ni tinted ndani ya kioo kabisa.
Gari kuja bila tinted siyo shida sababu siyo kila mtu anapenda tinted ndiyo maana rollers zimetengenezwa kwa atayependa kuweka .Kumbuka kuna nchi jua siyo kali kihivo sasa ukitengeneza gari na tinted unakuwa hujamsaidia mnunuzi au nchi nyingine sheria zinakataza au nchi nyingine kiwango cha uhalifu ni kidogo au hakuna kabisa hivo watu kujiachia ndani ya gari waonekane hakuna shida.
Kule wana self respect na hawafatilian , ila bongo nyoso umbea mwing umeweka tuu Tinted mtu anakazan kuptsha macho ndan ya Gari [emoji1783][emoji1783]Hivi kwanini Magari yakitoka huko tuponunua hayana Tinted ila yakifika hapa ndo twaweka?
Mheshimiwa umemaliza kabisa sababu maana hii ndiyo yenyewe hasa hata nguo nyeupe wakati mwingine nao wanatusumbua akikuona mfupi tu kasimamisha gari ila ikiwa tinted anajiuliza nisimamishe au, upo kwenye foleni mwenzako yupo kwenye daladala lazima maneno yatatoka huyu gari zima yupo peke yake atakuwa fisadi halafu angalia shati lake ndiyo maana bongo watu wanapenda tintedKule wana self respect na hawafatilian , ila bongo nyoso umbea mwing umeweka tuu Tinted mtu anakazan kuptsha macho ndan ya Gari [emoji1783][emoji1783]
Tunaongez privacy ZETU
Zipo tinted helmet piaWenye pikipiki[emoji1631][emoji1631][emoji2509][emoji2509][emoji1631][emoji1631][emoji605] tuna comment wapi! Maana lile helment nalo lina kioo
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
HahaahhahDah American tinted noma wazee in short cna gari lkn nimeweka dirishani kwngu geto hatar tupu usiku sioni kitu labda taa ikiwa imewashwa nje ndo naona kw tabu
Kuwa na amani mi mwanzisha Uzi pia sina gari lakini naona magari ya watu navyopewa lifti!Kwhy huu uzi ni wa wenye magari tu??
Hv wenzetu mnafanya kazi gani had mnamiliki magari??
Maan mie kila nikipambana napigwa nockout tu,sina hat uwezo wa kumiliki hiko kioo cha tinted.
Mungu anijalie na mm nipate rizki ya kumiliki mkoko wangu km nyinyi[emoji120]
Naona vizuri sana.Unaona fresh au unavumilia
InaitwajeNaona vizuri sana.
Yaani nilitaka nipige zile American Tinted zinazouzwa kwenye viboksi muuzaji akaniambia hapana, hzo piga kwenye vioo vya milango sababu ukipiga na kwenye kioo cha mbele usiku utapata shida, ya kwenye kioo cha mbele piga (alitaja jina) hizi ziko kwenye roller na alikuwa anauza elfu 40 kwa kioo kimoja cha mbele nikanunua na hiyo ya kwenye vioo vya mbele.
Jina sikumbuki ila linakuwa kwwnye roller dizaini kama rollers za kwenye vitambaa vya nguo kwahiyo wanakukatia.Inaitwaje
Inabandikwa kwa ndani au injeJina sikumbuki ila linakuwa kwwnye roller dizaini kama rollers za kwwnye vitambaa vya nguo kwahiyo wanakukatia.
Ndani.Inabandikwa kwa ndani au inje
Kushoto ni kioo cha mbele chenye hiyo tinted na kulia mlango wa gari nimeufungua kwahyoi hapo hakuna kizuizi cha kioo, ni wazi.Inabandikwa kwa ndani au inje