Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Soko limekuwa gumu sana mitaa ina warembo wanaotaka ndoa ila hawajaolewaKwamba soko ndo limekua gumu kiasi hicho huko mjini ππ€π€
Kwanza umri sahihi wa kuolewa ni upi?π€π€Soko limekuwa gumu sana mitaa ina warembo wanaotaka ndoa ila hawajaolewa
Mimi nina wadada tulisoma nao chuo, A-level na O-level mpaka leo hawajaolewa huwa nawaonea huruma sana na wanazitaka ndoa
25 kushuka chiniKwanza umri sahihi wa kuolewa ni upi?π€π€
Mmhππ, em kua serious hiyo kushuka chini hadi ngapi πππ25 kushuka chini
Ndiyo hivyo Leejay49 hapo kwenye 27+ huyo ni msimbeMmhππ, em kua serious hiyo kushuka chini hadi ngapi πππ
Dogo wanawake wakifika miaka 30 halaf hawajaolewa wanakuwa na stress sanaKwamba soko ndo limekua gumu kiasi hicho huko mjini ππ€π€
Kimbizana na muda tatizo ni kwamba kuna vitoto vinaibuka maingizo mapya vibichi na vizuriBasi ngoja nijiweke tayari na mimi kwa lolote nihakikishe hadi uchaguzi mkuu navuka na mtuπππ
Me bado sana.. nadhani baada ya uchaguzi huko ndo nitaanza hekaheka na mimiππKimbizana na muda tatizo ni kwamba kuna vitoto vinaibuka maingizo mapya vibichi na vizuri
Hakuna kitu kibaya kama kutafuta mwenzi kwa sababu umri unakaribia kukutupa mkono unaweza kuingia chaka
Tatizo jamii inaichukulia ndoa serious sana ππDogo wanawake wakifika miaka 30 halaf hawajaolewa wanakuwa na stress sana
Kumbe Jimbo lipo waziπππMe bado sana.. nadhani baada ya uchaguzi huko ndo nitaanza hekaheka na mimiππ
Aah wapiKumbe Jimbo lipo waziπππ
Kuwa makini usije ukafikia kuwa msimbe π€£Me bado sana.. nadhani baada ya uchaguzi huko ndo nitaanza hekaheka na mimiππ
Mungu wangu halaliππππKuwa makini usije ukafikia kuwa msimbe π€£
Siyo kwamba lazma kila mwanamke aolewe,point ni kwamba hata wale wanaume wanaotakiwa kuowa watapotea uwanjanTatizo jamii inaichukulia ndoa serious sana ππ
Mileage inasoma Kama kawaAah wapi
Yeah βΊοΈβΊοΈAmina
Anakupambania sio? π€£
Hapo ndo shida itakapoanziaπ€¦ββοΈSiyo kwamba lazma kila mwanamke aolewe,point ni kwamba hata wale wanaume wanaotakiwa kuowa watapotea uwanjan