Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Okay 😋😋😋Poa dogo ucjal ntakununulia na ice cream
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay 😋😋😋Poa dogo ucjal ntakununulia na ice cream
Poa dogo nn kingine unataka mamaOkay 😋😋😋
Hamna kingine☺️☺️Poa dogo nn kingine unataka mama
Sema tu dogo usiogope,me huwa napenda sana vitoto vidogo maana ni malaikaHamna kingine☺️☺️
Wacha weeSema tu dogo usiogope,me huwa napenda sana vitoto vidogo maana ni malaika
Yeah ila ukiwa mkubwa unapambana na hal yako,saiv kwa sabab bado katoto ndo maana ntakupaWacha wee
OkayYeah ila ukiwa mkubwa unapambana na hal yako,saiv kwa sabab bado katoto ndo maana ntakupa
Goodgirl😘Okay
Mamaye msimbe kama msimbe.Ndiyo hivyo Leejay49 hapo kwenye 27+ huyo ni msimbe
Unaweza kupanda mtumbwi wa vibwengo ukiingia Jamiiforum unakutana na team kataa ndoaKimbizana na muda tatizo ni kwamba kuna vitoto vinaibuka maingizo mapya vibichi na vizuri
Hakuna kitu kibaya kama kutafuta mwenzi kwa sababu umri unakaribia kukutupa mkono unaweza kuingia chaka
Watu full kupigana mitiiUkiangalia comments unaweza hisi watu wanapitia magumu sana ila nenda beach.....hata hawapitii changamoto za kutongozana wanashikana mikono wanazama Maji marefu ni kupigana miti tu
Huyo ajataka mume. Mwanamke kuwa na kazi ni added advantage ya kuolewaMm mwenzKo mkubwa najionea huku wanavopata stress na kushinda makanisan..
Unakuta mdada mzuri,ana masters kazi UN,anaish oysterbay apartment kali ana push dreamcar zetu kitu inacost $30,000and above lakin no mume
Husband material kutwa kulike picha za makalio vya wenzako usijitie matamanio huo ni ushamba in Kondeboy voice.Laana tena? Mtu kama hakutaki kakujibu vibaya si unamuacha sasa mambo ya kuongea tuone kama utaolewa yanatoka wapi? Alafu unakuta mwanaume mwenyewe anaeongea hayo ni muhuni mmoja tu hana sifa hata moja ya kuitwa mume. Nadhani tupunguze kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu maisha ni mazuri sana tukitambua sio lazima kukubalika na kila mtu.
Sema we ni kapuku tu unaependa mtelezo kwa wenye pesa. Ingekuwa inajimudu kidogo au upo kwenye corporate world ungeamin nachosemaHuyo ajataka mume. Mwanamke kuwa na kazi ni added advantage ya kuolewa
Oyaaa msimbe a.k.a kibungoMamaye msimbe kama msimbe.
🤣 🤣 🤣 mtaani hajapata wa kumuoa akiingia jf anakutana na team kataa ndoa hapo lazima msimbe apagaweUnaweza kupanda mtumbwi wa vibwengo ukiingia Jamiiforum unakutana na team kataa ndoa
Vijana wa nchi hii sio powaWatu full kupigana mitii
Kweli mi kapuku lakini uhalisia utabaki kuwa hivyo wanaume wengi wanaogopa kuoa mwanamke goli kipa sababu ya ugumu wa maisha so inapotokea mwanamke anajiweza bila kujali mzuri wa sura au tabia basi atakuwa na soko la ndoaSema we ni kapuku tu unaependa mtelezo kwa wenye pesa. Ingekuwa inajimudu kidogo au upo kwenye corporate world ungeamin nachosema
Hata akisema maneno mabaya kama hamna sababu itakayofanya hayo maneno yakupate wala hayatakupata ila kama sababu ipo ndo shida,Laana tena? Mtu kama hakutaki kakujibu vibaya si unamuacha sasa mambo ya kuongea tuone kama utaolewa yanatoka wapi? Alafu unakuta mwanaume mwenyewe anaeongea hayo ni muhuni mmoja tu hana sifa hata moja ya kuitwa mume. Nadhani tupunguze kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu maisha ni mazuri sana tukitambua sio lazima kukubalika na kila mtu.