Yap yapMileage inasoma Kama kawa
Ndoa ni jambo la muhimu,tatizo we bado mdogo..ombq sana Mungu uolewe,vinginevyo ukishavuka third floor utapata stress sanaTatizo jamii inaichukulia ndoa serious sana ๐๐
Kwakweli wacha niendelee kumwomba MunguNdoa ni jambo la muhimu,tatizo we bado mdogo..ombq sana Mungu uolewe,vinginevyo ukishavuka third floor utapata stress sana
Mm mwenzKo mkubwa najionea huku wanavopata stress na kushinda makanisan..Kwakweli wacha niendelee kumwomba Mungu
Gumu sanaaaKwamba soko ndo limekua gumu kiasi hicho huko mjini [emoji2][emoji848][emoji848]
Very sad๐คฆโโ๏ธMm mwenzKo mkubwa najionea huku wanavopata stress na kushinda makanisan..
Unakuta mdada mzuri,ana masters kazi UN,anaish oysterbay apartment kali ana push dreamcar zetu kitu inacost $30,000and above lakin no mume
๐๐๐...akijitahid sana bas anaishia kuwa single maza tu. Na wapo wengi mtu yuko ready hata leo umuoe lakin nan anataka shida hizoVery sad๐คฆโโ๏ธ
Me naamini wakati wake bado haujafika... atapata tu wakufanana nae๐๐๐...akijitahid sana bas anaishia kuwa single maza tu. Na wapo wengi mtu yuko ready hata leo umuoe lakin nan anataka shida hizo
We ungekuwa mwanaume utakubal kuoa mwanamke mzee wa 30+ and worse enough ana mtoto? Kilometa zimeenda kibao,tatizo wengi wakiwa in their 20's ukimwqmbia umuoe anaringa anakupandisha juu mpaka chini๐๐Me naamini wakati wake bado haujafika... atapata tu wakufanana nae
Mbona unanitisha jamani ๐๐We ungekuwa mwanaume utakubal kuoa mwanamke mzee wa 30+ and worse enough ana mtoto? Kilometa zimeenda kibao,tatizo wengi wakiwa in their 20's ukimwqmbia umuoe anaringa anakupandisha juu mpaka chini๐๐
Kwakweli Mungu atusaidie
Usiogope dogo๐ weekend tuonane breakpoint tupige maji kdgMbona unanitisha jamani ๐๐
tatizo situmiagi maji ningekuja chap๐Usiogope dogo๐ weekend tuonane breakpoint tupige maji kdg
Sawa najua watoto huwa mnapenda fantatatizo situmiagi maji ningekuja chap๐
Yeah na yogurt ๐Sawa najua watoto huwa mnapenda fanta
Laana tena? Mtu kama hakutaki kakujibu vibaya si unamuacha sasa mambo ya kuongea tuone kama utaolewa yanatoka wapi? Alafu unakuta mwanaume mwenyewe anaeongea hayo ni muhuni mmoja tu hana sifa hata moja ya kuitwa mume. Nadhani tupunguze kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu maisha ni mazuri sana tukitambua sio lazima kukubalika na kila mtu.Kiukwel laana isiyo na sabsbu haimpati MTU lakini wanawake wanatoaga sababu wenyewe,wanaume huwa wanaongea maneno magumu Sana yaliyo ambatana na uchungu na haya huwa yanafunga vibaya baada apo unakutana na wale watu wanaochezaga magemu wakichoka wanaangalia porno wanajilipua,wakimaliza anacheki muvie huku akisikilizia mkeka wake alioweka TSH 200 anasubiri M1 ,wewe mwanamke uliyemjibu mwanaume vibaya akaanza tuone kama ataolewa na nadhan hawa ndo Aina ya wanaume utakaokuwa unakutana nao wanaonaga mwanamke takataka.
Poa dogo ucjal ntakununulia na ice creamYeah na yogurt ๐