Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Mimi sio Muislamu ila yule Hemed Bin Jumaa Bin Hemed alikuwa ananivutia sana jinsi anavyoongea Kiswahili chake. Alikuwa akiongea anamalizia na kibwagio chake, "Dhahir eeh"
kwa mfano yule shekhe mkuu wa DSM kwa MTU yoyote Mwenye akili timamu lazima utampenda tu. Japo mm co muislam lakin ningependa niende msikiti anaoswalisha huyu shekhe. Cjawah kuelewa kwa nn Yuko tofauti na wengine.
 
MTU mwenye kisukari anaweza kutia bna wewe!!?..mtu aache kutiana huku akatie Makkah!!?..kilichosikika ni mke wake kugombea tenda ya kubeba mizigo ya mahujaj
Kwanini Mwenye Kisukari asitie??
Kwani anakua hana kitilio??
 
kwa mfano yule shekhe mkuu wa DSM kwa MTU yoyote Mwenye akili timamu lazima utampenda tu. Japo mm co muislam lakin ningependa niende msikiti anaoswalisha huyu shekhe. Cjawah kuelewa kwa nn Yuko tofauti na wengine.
Mi labda Msikiti wa Sheikh Kipozeo ndio ningependa kwenda kuswali na kupata Mawaidha Murua
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Duh kaka! Una uhakika na hili kweli? Kufumaniwa mecca kwenye maelfu ya watu kweli inawezekana? Halafu kuzini mecca!!!? huyo jamaa aliweka historia kama ni kweli.
 
Kwanini Mwenye Kisukari asitie??
Kwani anakua hana kitilio??
haisimami babu..anaweza kuanza harakati za kusimamisha alfajir ikashindikana..akifika ofisini ndiyo inasimama..pengne kwa mwezi Mara mbili tena hapo kajitahidi kweli
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Duh, isije ikawa kumpakazia mzee wa watu!
 
haisimami babu..anaweza kuanza harakati za kusimamisha alfajir ikashindikana..akifika ofisini ndiyo inasimama..pengne kwa mwezi Mara mbili tena hapo kajitahidi kweli
Ha ha haaaaa,
Sukari inakua inamaliza Nguvu za Kiume eee??
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Eee Mola tunusuru sie waja wako kama yaloandikwa hapa kuhusu viongozi wa Umma wako ni swahihi!
 
Muogope mungu sana,
Unamsingizia maiti huogopi wewe,
Kosa kumsingizia alokuwa hai, jee huyu alokuwa maiti jee?

Vipi utamuomba msamahan wakati hayupo tena, usiwe unafanya mambo kwa kufurahisha nafsi au kwa ajili ya chuki ni hatari zaidi.

Na hatari zaidi ya kuwa ulipomsingizia ni pahali patakatifu ambapo waislam wote wanakutana kutimiza nguzo ya tano pamoja na kumuomba allaah awasamehe madhambi yao.

Leo unakuja kusema ya kuwa mufti kazini! Hata angekuwa si mufti, mtu yoyote yule hauwezi kumsemea kosa hilo.

Jee wajua ya kuwa katika uislam kumsingizia mtu zinaa, adhabu yake ni kupigwa fimbo thamanini?

Laiti hukumu ya allaah ingekuwa inatumika basi wewe sasa hivi ni kuhukumiwa fimbo hizo, na bora zaidi kupata hiyo hukumu kuliko adhabu ambayo allaah atakutia katika maisha yako yote ya hapa duniani na kaburini na mpaka kukufuliwa.

Kwa hili huna msamaha mpaka umuombe mwenyewe samahani, sasa sijui umejitayarisha vipi kusimama mbele ya allaah na kumpa hoja ya kuwa kwa nini ulisema hivi, na pia sijui ulomsingizia hata hiyo siku ya siku atakuwa mwenye kukusamehe.

Note:
Mufti simba simjui namsikia tuu, ila nimesema haya kwa yoyote yule anaemsingizia mtu uongo, uwe wowote ule, ajitayarishe makaazi yake motoni
Vitisho tuuu, sasa kama aliyeandika ana ushahidi wa huyo mufti kuzini na kufumaniwa na wake zake je?

Acha mkwara ww, humjui mufti tuliza mshono.
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Mkuu, me sikuwahi kuisikia hii hadi ninapopata habari toka kwako.
Ilikuwakuwaje hadi kufumaniwa ughaibuni ilhali wakeze aliwaacha nyumbani?
Kama hautajali ninaomba unijaziejazie nyama kidogo ili zijae. Ninapenda sana historia na stori kama hizi.
 
Mtu anayewaza Eti Mufti anaweza kuondolewa huyo atakua anaota na haijui bakwata.
 
Muogope mungu sana,
Unamsingizia maiti huogopi wewe,
Kosa kumsingizia alokuwa hai, jee huyu alokuwa maiti jee?

Vipi utamuomba msamahan wakati hayupo tena, usiwe unafanya mambo kwa kufurahisha nafsi au kwa ajili ya chuki ni hatari zaidi.

Na hatari zaidi ya kuwa ulipomsingizia ni pahali patakatifu ambapo waislam wote wanakutana kutimiza nguzo ya tano pamoja na kumuomba allaah awasamehe madhambi yao.

Leo unakuja kusema ya kuwa mufti kazini! Hata angekuwa si mufti, mtu yoyote yule hauwezi kumsemea kosa hilo.

Jee wajua ya kuwa katika uislam kumsingizia mtu zinaa, adhabu yake ni kupigwa fimbo thamanini?

Laiti hukumu ya allaah ingekuwa inatumika basi wewe sasa hivi ni kuhukumiwa fimbo hizo, na bora zaidi kupata hiyo hukumu kuliko adhabu ambayo allaah atakutia katika maisha yako yote ya hapa duniani na kaburini na mpaka kukufuliwa.

Kwa hili huna msamaha mpaka umuombe mwenyewe samahani, sasa sijui umejitayarisha vipi kusimama mbele ya allaah na kumpa hoja ya kuwa kwa nini ulisema hivi, na pia sijui ulomsingizia hata hiyo siku ya siku atakuwa mwenye kukusamehe.

Note:
Mufti simba simjui namsikia tuu, ila nimesema haya kwa yoyote yule anaemsingizia mtu uongo, uwe wowote ule, ajitayarishe makaazi yake motoni
Wewe unayekariri kuwa marehemu kasingiziwa, je ikidhihirika kuwa kweli alitenda, utakuja na maelezo gani kutetea?
Kwa watu wenye elimu hujizuia sana ku-conclude mambo hadi pale wanapopata vielelezo visivyotia shaka.
Mtoa comment kaja na hiyo habari, halafu wewe unaprovoke na kusema ni muongo!
Mbona haujatoa vielelezo vya uongo wake ili tubalance na huo ukweli wako wa utetezi?
 
Mimi sio Muislamu ila yule Hemed Bin Jumaa Bin Hemed alikuwa ananivutia sana jinsi anavyoongea Kiswahili chake. Alikuwa akiongea anamalizia na kibwagio chake, "Dhahir eeh"


Mkuu:
Wewe unajua maana ya dhahir?
 
Hali si shwari ndani ya Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) na sasa kundi la viongozi ndani ya baraza hilo wanakula njama za kumuondoa kiongozi wao makini Mufti Zubeir.

Hali hiyo inakuja huku zaidi ya miezi miwili Bakwata haina ofisi na zaidi ya wafanyakazi 50 wa Bakwata Makao Makuu hawajalipwa mishahara yao kwa zaidi miezi kumi na moja(11).

Kadhalika zaidi ya walimu kumi na tano wa shule ya Bondeni Arusha hajalipwa mishahara yao, na huku Baraza lote la Masheikh la mkoa wa Katavi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa Katavi kujiuzulu kutokana na kutokuwa na IMANI na mufti zuberi.

Tayari zipo taarifa sasa za kuandaliwa mpango wa kuondolewa madarakani mufti kutokana kile kinachodaiwa kwamba ni kushindwa kuongoza Bakwata na ubadhirifu mkubwa wa mali za Bakwata uliofanywa na mufti na ndugu zake wa karibu.

Wajumbe kadhaa wa Baraza la masheikh Taifa wanajiandaa kutumia katiba ya Bakwata kumuengua mufti katika nafasi yake ya umufti kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Wakati wajumbe wengine kumi wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kutokuwa na Imani na mufti katika kikao kijacho ili kutoa nafasi ya mufti kujiuzulu kabla hawajatoa taarifa za siri za ubadhilifu mkuu wanaoujua wajumbe hao dhidi ya mufti.

Wakati huo huo viongozi wa Bakwata toka mikoa mitano, wanajiandalia kujiuzulu kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya mufti Zuberi. Vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na mufti Zuberi kuingiza Bakwata kwa miaka miwili sasa bila muelekeo wowote, huku vitendo vya ubadhirifu, ubinafsishaji wa mali za bakwata na ubabaishaji kushika kasi na ndugu wa mufti kupewa kipaumbele bila kuzingatia katiba ya Bakwata.


Updates:

Masheikh watatu ambao ni wajumbe wa baraza la ulamaa taifa Bakwata,wakishirikiana na sheikh mkuu wa dar es salaam,sheikh mkuu wa tabora,pamoja na kiongozi mwandamizi wa zamani wa Bakwata ndio wanasuka mpango wa kumuondoa mufti wa Tanzania Abubakar Zuberi.

Mpango huo ulioandali kwa umakini mkubwa,huenda ukamfanya mufti Zuberi kuwa ni mufti wa kwanza kuenguliwa katika historia ya bakwata na kupelekea mufti kwa mara ya kwanza kutoka Rufiji.

Mpango ambao ulikuwa utekelezwe wakati Mufti Zuberi akiwa yupo Morocco,ambao kwa sasa utatekelezwa wakati wowote.

Nitaendelea kuwapa update!!!
Bakwata hii inaaendeshwa kisiasa, Waite takukuru kama kuna ubadhilifu sio kumuondoa mufti kwa majungu
 
Ama anatafutwa sheikh kutoka kanda maalum ndio awe mufti. Kanda maalum kuna wasomi wa elm kweli ? Mkimtoa mufti kutoka Tanga nitajua nyie mmeaga kwenu.....
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca
Laanatullaah..Mungu na akuonyeshe ubaya ulioufanya kabla hapajakucha
 
Kwani Mufti ana level ipi ya Ilmu?

Je hao viongozi wa Bakwata?

Takbiir.......!
Mimi siipendi bakwata haswaa lakini siwezi beba dhimma kubwa ya kumsingia sheikh kuwa amezini binaadamu bhana ,tena isitoshe maiti
Muogope mungu sana,
Unamsingizia maiti huogopi wewe,
Kosa kumsingizia alokuwa hai, jee huyu alokuwa maiti jee?

Vipi utamuomba msamahan wakati hayupo tena, usiwe unafanya mambo kwa kufurahisha nafsi au kwa ajili ya chuki ni hatari zaidi.

Na hatari zaidi ya kuwa ulipomsingizia ni pahali patakatifu ambapo waislam wote wanakutana kutimiza nguzo ya tano pamoja na kumuomba allaah awasamehe madhambi yao.

Leo unakuja kusema ya kuwa mufti kazini! Hata angekuwa si mufti, mtu yoyote yule hauwezi kumsemea kosa hilo.

Jee wajua ya kuwa katika uislam kumsingizia mtu zinaa, adhabu yake ni kupigwa fimbo thamanini?

Laiti hukumu ya allaah ingekuwa inatumika basi wewe sasa hivi ni kuhukumiwa fimbo hizo, na bora zaidi kupata hiyo hukumu kuliko adhabu ambayo allaah atakutia katika maisha yako yote ya hapa duniani na kaburini na mpaka kukufuliwa.

Kwa hili huna msamaha mpaka umuombe mwenyewe samahani, sasa sijui umejitayarisha vipi kusimama mbele ya allaah na kumpa hoja ya kuwa kwa nini ulisema hivi, na pia sijui ulomsingizia hata hiyo siku ya siku atakuwa mwenye kukusamehe.

Note:
Mufti simba simjui namsikia tuu, ila nimesema haya kwa yoyote yule anaemsingizia mtu uongo, uwe wowote ule, ajitayarishe makaazi yake motoni
 
Mufti wa mwisho alikuwa ni marehemu Hemed bin Jumaa bin Hemed. Hawa wengine wote waliofuata hakuna hata mmoja aliyewahi kuenea kwenye kile kiti.

Akaja Marehemu Simba ndiyo kabisaa, akaboronga boronga kabla ya kwenda zake. Zaidi akaishia kufumaniwa na wake zake huko hijjah akizini na hawara walipokwenda kuhiji mecca

They are all the same, if you ask me. Mufti Hemed bin Jumaa, Mufti Issa Shabani Simba, Mufti Abubakar Zuberi, wote hawa toka siku wanatangazwa hakuna anaejua qualifications zao kuongoza BAKWATA.

Wana experience gani, wameongoza nini, wamefanya nini with their lives to deserve, much less qualify, kuwa ma Mufti? Mufti Zuberi according to Kinondoni insiders was a neither-here-nor-there muslim old guard at the head office, did nothing.

Tafuta news archives kwenye magazeti baada ya kifo cha Simba. Walipomu introduce Alhaji Zuberi, hakuna hata sehemu moja wanasema who the hell he was. Katokea ghafla out of the woodwork akawa Mufti. Unakuwaje Mufti wetu hatujui hata dini umefundishwa na nani?
 
Back
Top Bottom