Tetesi: Tishio la Tsunami: Gari ya matanagzo inatangaza Kuchafuka kwa Bahari maeneo ya Coco Beach

Tetesi: Tishio la Tsunami: Gari ya matanagzo inatangaza Kuchafuka kwa Bahari maeneo ya Coco Beach

mmmmh! Labda imepelekwa kuleeeee kwa wakulu, ngoja nikaitazame nitakupa "mlisho nyuma" kama feedback
Dah asante sana umeniongezea msamiati MLISHO NYUMA [emoji23][emoji23][emoji23] kama wa Sukubasi [emoji87]
 
Kuna Gari ya matangazo inapita kutahadharisha Raia Juu ya kuchukua Tahadhari kwa wananchi wanaoishi karibu na fukwe za coco beach waondoke kwani bahari inaweza kuchafuka muda wowowte.

Nimejaribu kuangalia kwenye webdite ya TMA sijaona warning yoyote
HAPO NI KICHAA ANAMLIA TIMING MZEE MKAPA ANAYEISHI COCO BEACH KWENYE UFUKWE WA UPANGA...ahame hilo jengo BARABARA IPITE au BAHARI ITACHAFUKA!!!!! hahahaha jiwe bwana...kweli kichaa
 
NAMOMBA MLIOPOTEZA NDUGU KWA WATU WASIOJULIKANA MUENDE COCO MTEGE...SI AJABU HATA MAITI YA BEN SAANANE IKAIBUKA HAPO...bahari haitunzi uchafu. husogeza kwenye fukwe ili kila mtu azike chake.
 
NAMOMBA MLIOPOTEZA NDUGU KWA WATU WASIOJULIKANA MUENDE COCO MTEGE...SI AJABU HATA MAITI YA BEN SAANANE IKAIBUKA HAPO...bahari haitunzi uchafu. husogeza kwenye fukwe ili kila mtu azike chake.
Wewe nae akili yako haijitegemei yenyewe.
 
Back
Top Bottom