Dah asante sana umeniongezea msamiati MLISHO NYUMA [emoji23][emoji23][emoji23] kama wa Sukubasi [emoji87]mmmmh! Labda imepelekwa kuleeeee kwa wakulu, ngoja nikaitazame nitakupa "mlisho nyuma" kama feedback
Aaa.Jize!!? Kikifika huku kitakuwa JIZI watu wachukue tahadhari mapema na wasipuuzie matangazo
Btw TMA wanatakiwa ku update hizi habari ASAP
Nimeuona uko kule "ROOM"Dah asante sana umeniongezea msamiati MLISHO NYUMA [emoji23][emoji23][emoji23] kama wa Sukubasi [emoji87]
Hahahahamnaokunya coco beach tushawajua
@moderator pls naombeni kurudi jukwaa la watu wakubwa kama kifungo kimeishaNimeuona uko kule "ROOM"
Waombe PM@moderator pls naombeni kurudi jukwaa la watu wakubwa kama kifungo kimeisha
Watakubali? [emoji102]Waombe PM
Wanakubali, sharti lao uwe umekaa JF zaidi ya mwaka. Sasa wewe una added advantage kuwa una "heshima" zako humu JF watakubali. ingia PM ya JamiiForumsWatakubali? [emoji102]
A powerful typhoon rip through western Japan on Tuesday, leaving at least seven people dead and more than 200 injuredJize!!? Kikifika huku kitakuwa JIZI watu wachukue tahadhari mapema na wasipuuzie matangazo
Btw TMA wanatakiwa ku update hizi habari ASAP
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]nikifanikiwa kurudi nitakuwa mtiifu sanaWanakubali, sharti lao uwe umekaa JF zaidi ya mwaka. Sasa wewe una added advantage kuwa una "heshima" zako humu JF watakubali. ingia PM ya JamiiForums
Ishallah utarudi tu[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]nikifanikiwa kurudi nitakuwa mtiifu sana
HAPO NI KICHAA ANAMLIA TIMING MZEE MKAPA ANAYEISHI COCO BEACH KWENYE UFUKWE WA UPANGA...ahame hilo jengo BARABARA IPITE au BAHARI ITACHAFUKA!!!!! hahahaha jiwe bwana...kweli kichaaKuna Gari ya matangazo inapita kutahadharisha Raia Juu ya kuchukua Tahadhari kwa wananchi wanaoishi karibu na fukwe za coco beach waondoke kwani bahari inaweza kuchafuka muda wowowte.
Nimejaribu kuangalia kwenye webdite ya TMA sijaona warning yoyote
INATAPIKA WATU WALIOUAWA NA WASIOJULIKANA..ukweli haujifichi..Kuchefuka? Inatapika nini?
Asavari huko JapanKuna kimbunga kinaitwa. Jize, kimeshaua watu Kibao Japan.
Watu wawe makini sana na sehemu za beach.
Wewe nae akili yako haijitegemei yenyewe.NAMOMBA MLIOPOTEZA NDUGU KWA WATU WASIOJULIKANA MUENDE COCO MTEGE...SI AJABU HATA MAITI YA BEN SAANANE IKAIBUKA HAPO...bahari haitunzi uchafu. husogeza kwenye fukwe ili kila mtu azike chake.