TISS mmenda Mirembe kuchunguza kama kweli huyu mtu ana file Mirembe

TISS mmenda Mirembe kuchunguza kama kweli huyu mtu ana file Mirembe

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kuna video/clip ikimuonyesha kiongozi mmoja mkubwa akidai kuwa ana file Mirembe na kuonya anaowaongoza wasimcheze bila shaka akimanisha yeye mgonjwa wa akili hivyo anaweza fanya lolote(sijui kama alikuwa anatania ila kaonekana kuongea serious).

Lakini pia tukumbuke ni mtu huyu huyu aliwahi mtandika mtu bakora mpaka akazirai hivyo kauli yake hii ni wazi inashabihiana na matendo yake kwahiyo huenda hatanii.

Binafsi nashindwa kuamini macho na masikio yangu kuhusu hiyo clip maana hata kama ni utani, huu utani naona sio wa kuupuuza hasa kuzingatia kauli na matendo mbalimbali ya muhusika.

Hivyo, natoa wito kwa TISS kuchunguza clip hiyo (just kujiridhisha tu) then wafuatile Mirembe kama kweli ana file na kama analo kweli,basi mzishauri mamlaka husika zichukue hatua asipewe nafasi tena hata ya kuwa mwenyekiti wa mtaa katika mtaa anaotako huko kijijini kwao.

Tusirudie kumpa nafasi kubwa kama hii aliyonayo sasa maana ni hatari sana.
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Hao wachunguzi wake wachukue kielelezo hiki. Maana kila analosema linaaminiwa, kiasi hata polisi statement zao wana copy kasemaje mbona hii hawataki kuamini?

 
Kuna video/clip ikimuonyesha kiongozi mmoja mkubwa akidai kuwa ana file Mirembe na kuonya anaowaongoza wasimcheze bila shaka akimanisha yeye mgonjwa wa akili hivyo anaweza fanya lolote(sijui kama alikuwa anatania ila kaonekana kuongea serious).

Lakini pia tukumbuke ni mtu huyu huyu aliwahi mtandika mtu bakora mpaka akazirai hivyo kauli yake hii ni wazi inashabihiana na matendo yake kwahiyo huenda hatanii.

Binafsi nashindwa kuamini macho na masikio yangu kuhusu hiyo clip maana hata kama ni utani,huu utani naona sio wa kuupuuza hasa kuzingatia kauli na matendo mbalimbali ya muhusika.

Hivyo,natoa wito kwa TISS kuchunguza clip hiyo(just kujiridhisha tu) then wafuatile Mirembe kama kweli ana file na kama analo kweli,basi mzishauri mamlaka husika zichukue hatua asipewe nafasi tena hata ya kuwa mwenyekiti wa mtaa katika mtaa anaotako huko kijijini kwao.

Tusirudie kumpa nafasi kubwa kama hii aliyonayo sasa maana ni hatari sana.


Luuuu, aiseee!!😯😯
 
Lijuakali na Msukuma na mwezao walivaa mask wasijulikane wakafanya shambulio kwa mbowe wakiwa na uoga mwingi na kukosa nguvu za mikono wakaishia kumsukumiza na kumvunja miguu, Albadiri ikisomwa ielekezwa kwa hao hao waliofanya shambulio kisha kukimbilia Bungeni kutengeneza propaganda kuwa mbowe alilewa akaanguka mwenyewe, Kitendo cha lijuakali kusema alijua alipokuwa akinywa pombe ni ushahidi tosha kuwa alikuwa busy kumfuatilia usiku ule.
 
Mimi ninachojua kuna mafaili mengi na wengi wao wako kwenye dawa za kila mwezi.. Unajua ndege wafananao huruka pamoja [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Clip ni fupi mno kweni alikuwa anajipambanua baada ya kitu gani hasa ndani ya joho la Uspika?
 
Alisema asichezewe ana faili mirembe... Mwisho wa kunukuu
Hakuna mwenye ubavu wa kuhoji mambo yaliyoongelewa bungeni hata TISS HAWAWEZI wana kinga ya bunge

Hata wakivurumishiana mitusi maadamu wanatukanana bungeni ni ya kwao huko huko.Mleta mada hayo hayahusu nje ni yao.Ingekuwa kila tamko la bungeni mtu anadakwa WABUNGE wa CHADEMA wote saa hii wangekuwa jela
 
Back
Top Bottom