Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hiyo nyumba ambayo hao washambuliaji wakiingia ni ya Nani? Maana nyumba zote wanajulikana wanaoishi.FBI waliopo ubalozi wa marekani kwa kutumia mfumo wa anga wamechunguza na kubaini waliompiga mbowe walitokomea mle mle kwenye nyumba za jirani na mtuhumiwa mkuu ni lijuakali
Kumbe uliwaona? Huu ushahidi unatakiwa Sana kwa Sasa maana uchunguzi wa polisi bado unaendelea.Lijuakali na Msukuma na mwezao walivaa mask wasijulikane wakafanya shambulio kwa mbowe wakiwa na uoga mwingi na kukosa nguvu za mikono wakaishia kumsukumiza na kumvunja miguu, Albadiri ikisomwa ielekezwa kwa hao hao waliofanya shambulio kisha kukimbilia Bungeni kutengeneza propaganda kuwa mbowe alilewa akaanguka mwenyewe, Kitendo cha lijuakali kusema alijua alipokuwa akinywa pombe ni ushahidi tosha kuwa alikuwa busy kumfuatilia usiku ule.
Alisema asichezewe ana faili mirembe... Mwisho wa kunukuu...Hakuna mwenye ubavu wa kuhoji mambo yaliyoongelewa bungeni hata TISS HAWAWEZI wana kinga ya bunge
Hata wakivurumishiana mitusi maadamu wanatukanana bungeni ni ya kwao huko huko.Mleta mada hayo hayahusu nje ni yao.Ingekuwa kila tamko la bungeni mtu anadakwa WABUNGE wa CHADEMA wote saa hii wangekuwa jela
B 29 ilipotea kiboya sanaHuwenda yale matibabu india yalihusu mambo kama hayo?
Mimi binafsi bila ya kushurutishwa na mtu yeyote nimekuelewa. Ni wengi, hata mwingine alidhibitisha akiwa ziarani Ukerewe.Mimi ninachojua kuna mafaili mengi na wengi wao wako kwenye dawa za kila mwezi.. Unajua ndege wafananao huruka pamoja [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji30][emoji30][emoji30]halafu iwe ni nyakati za mwezi nchanga [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mimi binafsi bila ya kushurutishwa na mtu yeyote nimekuelewa. Ni wengi, hata mwingine alidhibitisha akiwa ziarani Ukerewe.
Ila watu wa aina hiyo sio wa kuamini sana maana kuna siku mtu anaweza kusema jukwaani NIVUE? ole wao mtu aseme vua! Akavua.
Sisi tuna haki ya kuhoji yanayoendelea huko maana ndio tumewatuma na kulipia gharama za bunge.Hakuna mwenye ubavu wa kuhoji mambo yaliyoongelewa bungeni hata TISS HAWAWEZI wana kinga ya bunge
Hata wakivurumishiana mitusi maadamu wanatukanana bungeni ni ya kwao huko huko.Mleta mada hayo hayahusu nje ni yao.Ingekuwa kila tamko la bungeni mtu anadakwa WABUNGE wa CHADEMA wote saa hii wangekuwa jela
DAAH KUMBE TUNAONGOZWA NA VICHAA!!!
Acheni kujidhalilisha hivi.SAA saba alikuwa wapi? Walinzi wake walikuwa wapi? Kwa nini taarifa zitolewe na mwanamke mwingine na si mke wa ndoa? Kwa nini hakupiga makelele kuomba msaada ? NkLijuakali na Msukuma na mwezao walivaa mask wasijulikane wakafanya shambulio kwa mbowe wakiwa na uoga mwingi na kukosa nguvu za mikono wakaishia kumsukumiza na kumvunja miguu, Albadiri ikisomwa ielekezwa kwa hao hao waliofanya shambulio kisha kukimbilia Bungeni kutengeneza propaganda kuwa mbowe alilewa akaanguka mwenyewe, Kitendo cha lijuakali kusema alijua alipokuwa akinywa pombe ni ushahidi tosha kuwa alikuwa busy kumfuatilia usiku ule.
[emoji202][emoji202]FBI waliopo ubalozi wa marekani kwa kutumia mfumo wa anga wamechunguza na kubaini waliompiga mbowe walitokomea mle mle kwenye nyumba za jirani na mtuhumiwa mkuu ni lijuakali
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi binafsi bila ya kushurutishwa na mtu yeyote nimekuelewa. Ni wengi, hata mwingine alidhibitisha akiwa ziarani Ukerewe.
Ila watu wa aina hiyo sio wa kuamini sana maana kuna siku mtu anaweza kusema jukwaani NIVUE? ole wao mtu aseme vua! Akavua.
We huoni nchi imevaa bukta kichwani, tangu Uhuru hatukuwahi ona hayaDAAH KUMBE TUNAONGOZWA NA VICHAA!!!
TISS sio neutral wangechunguza.Wakishachunguza watampelekea Nani sasaTusiandikie mate wakati wino upo. Hao wachunguzi wake wachukue kielelezo hiki. Maana kila analosema linaaminiwa, kiasi hata polisi statement zao wana copy kasemaje mbona hii hawataki kuamini?
View attachment 1477675