TISS mmenda Mirembe kuchunguza kama kweli huyu mtu ana file Mirembe

FBI waliopo ubalozi wa marekani kwa kutumia mfumo wa anga wamechunguza na kubaini waliompiga mbowe walitokomea mle mle kwenye nyumba za jirani na mtuhumiwa mkuu ni lijuakali
Hiyo nyumba ambayo hao washambuliaji wakiingia ni ya Nani? Maana nyumba zote wanajulikana wanaoishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe uliwaona? Huu ushahidi unatakiwa Sana kwa Sasa maana uchunguzi wa polisi bado unaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alisema asichezewe ana faili mirembe... Mwisho wa kunukuu...
 
Alipiga mtu na huyo mtu hadi alipelekwa mirembe, au ana ukorofi uliotiliwa shaka hadi alipelekwa kupimwa akili na akaonekana safi, ni biti la kishamba sana too much
 
Mnatapatapa sana baada ya kukwama kwa JPM na propaganda uchwara sasa mmerudi kwa sipika wa mbunge, najua napo mtakwama tu, maana mnazuia mafuriko kwa mikono

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Mimi ninachojua kuna mafaili mengi na wengi wao wako kwenye dawa za kila mwezi.. Unajua ndege wafananao huruka pamoja [emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
Mimi binafsi bila ya kushurutishwa na mtu yeyote nimekuelewa. Ni wengi, hata mwingine alidhibitisha akiwa ziarani Ukerewe.
Ila watu wa aina hiyo sio wa kuamini sana maana kuna siku mtu anaweza kusema jukwaani NIVUE? ole wao mtu aseme vua! Akavua.
 
Mimi binafsi bila ya kushurutishwa na mtu yeyote nimekuelewa. Ni wengi, hata mwingine alidhibitisha akiwa ziarani Ukerewe.
Ila watu wa aina hiyo sio wa kuamini sana maana kuna siku mtu anaweza kusema jukwaani NIVUE? ole wao mtu aseme vua! Akavua.
[emoji87][emoji87][emoji87][emoji30][emoji30][emoji30]halafu iwe ni nyakati za mwezi nchanga [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Sisi tuna haki ya kuhoji yanayoendelea huko maana ndio tumewatuma na kulipia gharama za bunge.
We unataka hata wasiulizwe ujinga?
 
Acheni kujidhalilisha hivi.SAA saba alikuwa wapi? Walinzi wake walikuwa wapi? Kwa nini taarifa zitolewe na mwanamke mwingine na si mke wa ndoa? Kwa nini hakupiga makelele kuomba msaada ? Nk
 
Hakika wewe ni bingwa wa udaku kama siyo uzushi, maana bandiko zako na michango yako katika kujadili mada, mara zote unaongozwa na hisia hasi dhidi ya watawala. Hilo ni tatizo la kiafya ya akili na madhara yake ni makubwa kwa kuwa hudumaza uwezo wa kuwa mtu wa maono bali tegemezi.

Jisalimishe kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya akili. Bila shaka utarudi kunikashifu kwa kuwa tayari umeisha kuwa mlemavu wa akili.
 
FBI waliopo ubalozi wa marekani kwa kutumia mfumo wa anga wamechunguza na kubaini waliompiga mbowe walitokomea mle mle kwenye nyumba za jirani na mtuhumiwa mkuu ni lijuakali
[emoji202][emoji202]
 
Mimi binafsi bila ya kushurutishwa na mtu yeyote nimekuelewa. Ni wengi, hata mwingine alidhibitisha akiwa ziarani Ukerewe.
Ila watu wa aina hiyo sio wa kuamini sana maana kuna siku mtu anaweza kusema jukwaani NIVUE? ole wao mtu aseme vua! Akavua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…