TISS mmenda Mirembe kuchunguza kama kweli huyu mtu ana file Mirembe

Huyo Ndugai asubirie tu baada ya October, hatuwezi kuwa na wagonjwa Bungeni tena wakiwa viongozi. Labda wananchi wake wamchague.

Lakini wajue pia watafanya uchaguzi tena.
 
Acha kuwa kilaza!Umeshindwa kuelewa hata hoja nyepesi kama hii!!! Kumchunguza kimyakimya kuna husiana nini na kuingilia mambo ya Bunge? Unafikiri TISS wanafanya kazi kama Polisi au TAKUKURU kwa kumuita na kumuhoji? Bahati mbaya hata TISS yenyewe imekuwa ni kama tawi la chama fulani cha siasa.
 
[emoji115]Taahira ktk ubora wako
 
Dawa ya moto ni moto chadema si mnajifanya wendawazimu HAMNA AKILI TIMAMU NA WEHU

Subirini october CCM HATUCHEZEWI
Kamwambieni 'baba' atumie hata vifaru vya jeshi, itawasadia tu kuzidi kujikusanyia wasaka tonge.
Lakini kamwe haitowawezesha kuleta mvuto kwa wananchi kwani hilo sio hitaji lao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…