wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Acha kuwa kilaza!Umeshindwa kuelewa hata hoja nyepesi kama hii!!! Kumchunguza kimyakimya kuna husiana nini na kuingilia mambo ya Bunge? Unafikiri TISS wanafanya kazi kama Polisi au TAKUKURU kwa kumuita na kumuhoji? Bahati mbaya hata TISS yenyewe imekuwa ni kama tawi la chama fulani cha siasa.Hakuna mwenye ubavu wa kuhoji mambo yaliyoongelewa bungeni hata TISS HAWAWEZI wana kinga ya bunge
Hata wakivurumishiana mitusi maadamu wanatukanana bungeni ni ya kwao huko huko.Mleta mada hayo hayahusu nje ni yao.Ingekuwa kila tamko la bungeni mtu anadakwa WABUNGE wa CHADEMA wote saa hii wangekuwa jela
Polisi wanaamini, ndiyo sababu hawamchezei. Teh teh teh.....Tusiandikie mate wakati wino upo. Hao wachunguzi wake wachukue kielelezo hiki. Maana kila analosema linaaminiwa, kiasi hata polisi statement zao wana copy kasemaje mbona hii hawataki kuamini?
View attachment 1477675
[emoji115]Taahira ktk ubora wakoHakuna mwenye ubavu wa kuhoji mambo yaliyoongelewa bungeni hata TISS HAWAWEZI wana kinga ya bunge
Hata wakivurumishiana mitusi maadamu wanatukanana bungeni ni ya kwao huko huko.Mleta mada hayo hayahusu nje ni yao.Ingekuwa kila tamko la bungeni mtu anadakwa WABUNGE wa CHADEMA wote saa hii wangekuwa jela
Ametubu mwenyewe.Tusiandikie mate wakati wino upo. Hao wachunguzi wake wachukue kielelezo hiki. Maana kila analosema linaaminiwa, kiasi hata polisi statement zao wana copy kasemaje mbona hii hawataki kuamini?
View attachment 1477675
Tusiandikie mate wakati wino upo. Hao wachunguzi wake wachukue kielelezo hiki. Maana kila analosema linaaminiwa, kiasi hata polisi statement zao wana copy kasemaje mbona hii hawataki kuamini?
View attachment 1477675
Hajui huyo kichaa Ni ugonjwa wa kawaida Kama malaria ikipanda kichwani ukipona unarudi zako kazini Kama kawaidaMkuu mbona wengi tuna mafaili Mirembe.
Ila mafaili yamebaki huko huko Milembe si tuko mitaani!
Ogopa pale tu ukiwa mkaazi wa Milembe.
Kamwambieni 'baba' atumie hata vifaru vya jeshi, itawasadia tu kuzidi kujikusanyia wasaka tonge.Dawa ya moto ni moto chadema si mnajifanya wendawazimu HAMNA AKILI TIMAMU NA WEHU
Subirini october CCM HATUCHEZEWI
Tatizo lake kubwa ni kutumia ARV kwa mda mrefu, zina side effectsTusiandikie mate wakati wino upo. Hao wachunguzi wake wachukue kielelezo hiki. Maana kila analosema linaaminiwa, kiasi hata polisi statement zao wana copy kasemaje mbona hii hawataki kuamini?
View attachment 1477675
Wengine tumewapangishia jumba kuu pale karibu na bahari,wakakimbilia mji mkuu karibu na hospitali kuu ya magonjwa ya kichwa.Mkuu mbona wengi tuna mafaili Mirembe.
Ila mafaili yamebaki huko huko Milembe si tuko mitaani!
Ogopa pale tu ukiwa mkaazi wa Milembe.
Yule magonjwa yote ya akili yanamuandamahivi kwani!namba moja ni mzima??
Wengine tumewapangishia jumba kuu pale karibu na bahari,wakakimbilia mji mkuu karibu na hospitali kuu ya magonjwa ya kichwa.
nmecheka sana! 🤣🤣🤣Wengine tumewapangishia jumba kuu pale karibu na bahari,wakakimbilia mji mkuu karibu na hospitali kuu ya magonjwa ya kichwa.