Ndio maana ya option hii niliyo shauri. Inakiondoa chama kwenye uwezekano wa kuomba msamaha. Mfano, Chongolo kama katibu mkuu hakuwa na option ya kutoutetea. Mzee kinana kwa nafasi yake na uwezo mkubwa wa propaganda ameanza kutafuta mlango wa kutokea.Umetoa Ushauri Mzuri,ila kwenye siasa kuomba msamaha ni kujimaliza,,
Una hoja fikirishiAsalam,
Nimefuatilia mijadala ya huu mkataba wa kuuza Bandari. Mengi yamesemwa. Sitaki kuyarudia, Natoa ushauri tu sasa ili kulinda umoja wetu kama watanzania, muungano wetu na uimara wa CCM.
1. Vyombo na mifumo ya dola iwasaidie Majaji Mbeya KUFUTA HUU MKATABA bila kujali changamoto za dini zao, udhaifu wa utetezi hapa na pale, etc.
2. CCM itokee hapo sasa kurekebisha mambo na kurudisha mpira kapuni kwa kauli nzito majukwaaani kuwa TUNAHESHIMU MAAMUZI YA KIMAHAKAMA.
3. Suala la Bandari liachwe kwa muda lipoe hadi baada ya Uchaguzi 2025. Hapa ni kukipa chama tawala kupumua
4. Viongozi wa Dini na wale waheshimika ndani ya nchi watoke kupongeza haya maamuzi. Ili kujenga utulivu
5. Ilani ya Uchaguzi sasa irudi kujikita kwenye mipango na mwelekeo wa 2050. Yako mengi. Taifa liachane na udalali
6. CCM ianze kuheshimu na kuwatumia wataalamu nje ya mfumo kama TLS kupitia mikataba.
7. Tuvipe sasa uhuru vyombo kufanya kazi, mfano TPA, PPRA, TAKUKURU ETC wasogee kwenye usimamizi wa mambo mazito.
7. Tuendelee na miradi ya kipaumbele na kubotesha mahusiano na marafiki zetu wachina, warusi, Cuba, etc.
Kwa uchache. Lkn yako mengi ya kushauri mifumo. Tusigombane na wanaotukosoa.
Haviko huru. Lazima viagizwe. Nadhani umesikia mara nyingi PM akiwatuma kazi majukwaani. Na pia umeona na kusikia Rais akiwatukana mara kadhaa kwa kushindwa kufanya kazi. Lkn kama tunataka maendeleo basi viwe huru hivi vyomboMbona sijasikia mkataba ukipekuliwa na vyombo vyetu vya kiuchunguzi PT na PCCB? Ndo shida ya vyombo kukosa Uhuru wa kufanya kazi zake.
Sahihi mkuu coz kiuhalisia vimebanwa maana madudu yao viongozi ndo yanaleta shida kila Leo hapo majukwaani ni kujikosha tu watu kupigwa dizaini ya mbuzi wa kafaraHaviko huru. Lazima viagizwe. Nadhani umesikia mara nyingi PM akiwatuma kazi majukwaani. Na pia umeona na kusikia Rais akiwatukana mara kadhaa kwa kushindwa kufanya kazi. Lkn kama tunataka maendeleo basi viwe huru hivi vyombo
Hazijalala hizi, TISS na MI wapo macho, shida ni sheria inayowaongoza labda kama unataka wafanye uasiTISS, military intelligence, zote zimelala usingizi wa pono,kote huko mijitu inawaza ki ccm ccm tu, bado inaamini chama chenye hatimiriki ya nchi ni ccm,
Kule kuna mabogas, yanayojua kupiga deals tu za mashamba, apartments, wizi, nk
Kwa mambo ya hovyo yanayotokea Tz,mie pia huwa naamini hivi.Otherwise huwezi kuwa na taasisi imara za usalama zikaruhusu nchi kuingia mkataba wa hovyo kama huuTISS, military intelligence, zote zimelala usingizi wa pono,kote huko mijitu inawaza ki ccm ccm tu, bado inaamini chama chenye hatimiriki ya nchi ni ccm,
Kule kuna mabogas, yanayojua kupiga deals tu za mashamba, apartments, wizi, nk
Sahihi kabisa umenena amendments muhimu labda tusubiri mchakato wa katiba mpya nilisikia kitu kama mwezi Agost 2023 mambo yanaanzaHazijalala hizi, TISS na MI wapo macho, shida ni sheria inayowaongoza labda kama unataka wafanye uasi
Wameponzwa na viherehere vyao..JKAsalam,
Nimefuatilia mijadala ya huu mkataba wa kuuza Bandari. Mengi yamesemwa. Sitaki kuyarudia, Natoa ushauri tu sasa ili kulinda umoja wetu kama watanzania, muungano wetu na uimara wa CCM.
1. Vyombo na mifumo ya dola iwasaidie Majaji Mbeya KUFUTA HUU MKATABA bila kujali changamoto za dini zao, udhaifu wa utetezi hapa na pale, etc.
2. CCM itokee hapo sasa kurekebisha mambo na kurudisha mpira kapuni kwa kauli nzito majukwaaani kuwa TUNAHESHIMU MAAMUZI YA KIMAHAKAMA.
3. Suala la Bandari liachwe kwa muda lipoe hadi baada ya Uchaguzi 2025. Hapa ni kukipa chama tawala kupumua
4. Viongozi wa Dini na wale waheshimika ndani ya nchi watoke kupongeza haya maamuzi. Ili kujenga utulivu
5. Ilani ya Uchaguzi sasa irudi kujikita kwenye mipango na mwelekeo wa 2050. Yako mengi. Taifa liachane na udalali
6. CCM ianze kuheshimu na kuwatumia wataalamu nje ya mfumo kama TLS kupitia mikataba.
7. Tuvipe sasa uhuru vyombo kufanya kazi, mfano TPA, PPRA, TAKUKURU ETC wasogee kwenye usimamizi wa mambo mazito.
7. Tuendelee na miradi ya kipaumbele na kubotesha mahusiano na marafiki zetu wachina, warusi, Cuba, etc.
Kwa uchache. Lkn yako mengi ya kushauri mifumo. Tusigombane na wanaotukosoa.
Ukweli mchungu huuMahakama wataitupilia mbali ile kesi. Utamaduni wetu ni kulinda heshima ya rais awapo madarakani.
Ujamaa na taasisi imara havikai pamoja.Sawa, lkn kwenye Democracia ya Ujamaa wa Kisasa tunahitaji kuona kuwa tuna Taasisi Imara. Na ni katika mambo kama haya.
Hivi sisi tuko wapi ? Ni democratic Nation?Ukweli mchungu huu
Kimaandishi tupo hivyo, ila kiuhalisia ni nchi ya chama kimoja (Ccm), chini ya demokrasia mfu.Hivi sisi tuko wapi ? Ni democratic Nation?
sawa labda yule kule Ubalozi ameshaliona na kushauri pia kumeheshimiwa mawazo yakeNauhakika TISS watalisimamia hili ili kutuliza joto la kisiasa
Kifupi taasisi imajaa machawa wa ccmTISS, military intelligence, zote zimelala usingizi wa pono,kote huko mijitu inawaza ki ccm ccm tu, bado inaamini chama chenye hatimiriki ya nchi ni ccm,
Kule kuna mabogas, yanayojua kupiga deals tu za mashamba, apartments, wizi, nk
IGA haiwezi kufanyiwa mabadiliko, kwa sababu ishapitishwa na bunge.Mahakama wataitupilia mbali ile kesi. Utamaduni wetu ni kulinda heshima ya rais awapo madarakani.
Kama IGA itafanyiwa maboresho basi watafanya sio kwa shinikizo la wazi la mahakama au bunge. Ni ni kwa shinikizo/ ushauri wa chini chini wenye heshima na taadhima.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo hawawezi kufanya maana kufanya hivyo itakuwa ni kumvua nguo Chongolo ambaye anazurula nchi nzima akibwabwaja kuwa mkataba ni mzuri kuliko mikataba yote iliyowahi kusainiwa tangu kuasisiwa kwa Taifa.
Shetani ataendelea kuwatia kiburi ili anguko lao liwe la aibu kubwa.
Unajua hata wanaotuongoza hawajui wanatumia nadharia au itikadi ganiKimaandishi tupo hivyo, ila kiuhalisia ni nchi ya chama kimoja (Ccm), chini ya demokrasia mfu.