TISS na CCM Party Comrades tumieni kesi ya Mbeya kuokoa Umoja wetu, na Muungano wetu, kuilinda CCM. FUTA IGA

we kafute kwanza huo ujinga wako
 
Nauhakika TISS watalisimamia hili ili kutuliza joto la kisiasa
Jeshi WTZ...TISS wamekula kiapo kulinda kutetea katiba ....kuna somo kwenye mafunzo yao....kumtoa hamna yyt ile mwanasiasa ....au Principal akienda kombo akawa hashauriki....kwa maslahi ya Taifa....nawasilisha
 
Jeshi WTZ...TISS wamekula kiapo kulinda kutetea katiba ....kuna somo kwenye mafunzo yao....kumtoa hamna yyt ile mwanasiasa ....au Principal akienda kombo akawa hashauriki....kwa maslahi ya Taifa....nawasilisha
Sawa
 
Unajua hata wanaotuongoza hawajui wanatumia nadharia au itikadi gani
Katiba yetu inatamka wazi Tz ni nchi ya kijamaa, ila kiuhalisia hatupo hivyo....tuna ubepari uchwari na ujamaa uchwara tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…