Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Juzi hapa FSB wamekamata watu kwa tuhuma za uhujumu wa nchi.
TISS wao haijulikana wanafanya kazi gani
Wapo wapo tu.
Wakivaa yale mabunduki wanajiona watu mno
Ukijaribu pitia ile video ya CAG juzi unaona sehemu nyingi ni ambazo TISS wangesema mapema kabla madhara hayajatokea.TISS IPO kwa ajili ya uchaguzi tu.
Mkalitizame na hili.
Heshimu Taasisi na Utaratibu wa Taasisi sawa? Siyo lazima kila lifanywalo na CIA / NSA (Marekani ) basi na TISS ( Tanzania ) nao walifanye au waliige.
Binafsi ( GENTAMYCINE ) nimebahatika Kukaa ( kuwa karibu ) na Walinzi wa baadhi ya Marais wa Ukanda wetu huu ( Kale Kayihura aliyekuwa CIG: wa Uganda ila kabla alikuwa Mlmoja wa Walinzi PPU wa Rais Museveni na Marehemu Noble Mayombo aliyekuwa CMI wa Uganda na aliyewahi pia kuwa ADC wa Rais Museveni ) achilia mbali wa Rais Kagame na wa Hayati Mzee Kabila ( Laureant Kabila ) na Sifa pekee niliyoisikia kutoka Kwao kuhusu TISS na hasa hasa PSU ni kwamba wako vizuri na Wameiva mno Kimedani.
PSU ndiyo blueprint ya Vikosi vingi vya Ulinzi wa Marais katika nchi nyingi za Ukanda huu ikiwemo na Msumbiji na nyinginezo.
Acheni Kudharau vya Kwenu TZ Oky?
Ikiwa kama wameihakikishia CCM kuwaoo madarakani, hata baada ya karne, hayo mengine makelele tu!
Kumbuka yule siyo Rais ni Makamo wa Rais.Halafu kila Jamii Ila Mfumo wake wa Ulinzi usilazimishe Rusia ifanane na USA. Hata aina ya Bunduki.Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
HakikaJana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Kumbe? Wanakopa?TISS ni ya CCM sio Tanzania. Ndio maana mtu anakopa benki tano tofauti kwa dhamana feki na hajulikani. Tanzania hamna TISS.
Huwa sipotezewi muda na Wapumbavu.Kadanganye wengine, TISS gani ni blue print?. Hiii ya kuibeba CCM kwenye uchaguzi. Acha uongo.
Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Wanafuata doctrine yao inavyoelekeza, hao US wana yao pia.Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Kadanganye wengine huko.Huwa sipotezewi muda na Wapumbavu.