Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Unakuta kabisa mnaogambania demu bar alafu eti anatoa kitambulisho,hawa jamaa bhana😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daima ukosoaji ni kazi rahisi sana ambayo hata mtu dhaifu anaweza kuifanya.pia ww kutokuona kazi/umuhimu wa wale unaowaita "Vidada" haimaanishi huo umuhimu haupo ni vile tu either hujui ila unataka kuonekana mjuaji au ni vile tu hujui alafu hujui kama hujui. ACHENI UJUVI MWINGI MNAHISI MNA AKILI NYINGI KULIKO TAASISI AMBAZO ZIMEWEZA KUSIMAMA KUANZIA WW HAUJAJUA KUANDIKA MPAKA LEO UMEKUA KEYBOARD WORRIOR.Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi...
Kumbe maneno ya kuambiwa. Hakuna lolote. Wapo busy kwenye inbox za wadada wanatuma picha zao wakiwa safarini na suti. Ndio maana hawaaminiki. Nchi unazotaja ni utopolo tupu.Heshimu Taasisi na Utaratibu wa Taasisi sawa? Siyo lazima kila lifanywalo na CIA / NSA (Marekani ) basi na TISS ( Tanzania ) nao walifanye au waliige.
Binafsi ( GENTAMYCINE ) nimebahatika Kukaa ( kuwa karibu ) na Walinzi wa baadhi ya Marais wa Ukanda wetu huu ( Kale Kayihura aliyekuwa CIG: wa Uganda ila kabla alikuwa Mlmoja wa Walinzi PPU wa Rais Museveni na Marehemu Noble Mayombo aliyekuwa CMI wa Uganda na aliyewahi pia kuwa ADC wa Rais Museveni ) achilia mbali wa Rais Kagame na wa Hayati Mzee Kabila ( Laureant Kabila ) na Sifa pekee niliyoisikia kutoka Kwao kuhusu TISS na hasa hasa PSU ni kwamba wako vizuri na Wameiva mno Kimedani.
PSU ndiyo blueprint ya Vikosi vingi vya Ulinzi wa Marais katika nchi nyingi za Ukanda huu ikiwemo na Msumbiji na nyinginezo.
Acheni Kudharau vya Kwenu TZ Oky?
Damn Fool.Kumbe maneno ya kuambiwa. Hakuna lolote. Wapo busy kwenye inbox za wadada wanatuma picha zao wakiwa safarini na suti. Ndio maana hawaaminiki. Nchi unazotaja ni utopolo tupu.
Hawawezi jifunza baba, hawataki, kisa Ulaji, kuna mtu anapiga hela kutokana na hayo, misafara mikubwa, kuzingirwa na upuuzi gani sijuwi...wanajifanya wana BLANK CHQ kumbe UFUSADI TUJana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi.
Hata yule mpambe anayevaa magwanda sioni umuhimu wake zaidi ya matumizimabaya ya kodi. Vile vidada vinavyokaa pembeni ya Rais akiwa anahutubia jana havijaonekana popote pale.
Jifunzeni bana
Mmekariri sana
Nendeni pale Hyatt Regency muone gari zinavyosachiwa haijalishi ni ya wapi, hawana cha yule ni mwenzetu, ukifika pale unasachiwa na MBWA afu waruhusiwa pita.
TISS ivunjwe maana imeshindwa msaidia Rais kazi
Your mama.Damn Fool.
Unapoona hotel ina vyumba Presidential suite ndio kazi yake hiyo.Ivi kumbe kamala alilala hyatt nilikuwa najiuliz leo baada ya kupita pale hyatt kwamba mwanama MMA Kamala atakuwa amelala wapi jana ikulu mmmh nikasema hapana maaana hata mama mwenyewe halalagi kule
Hili ni vigumu mno hasa nyakati hizi kutokana na mazingira ya sasa ya kisiasa.TISS ikijitenga na CCM itafafanya vizuri.
Wenzetu wanafanya kazi kwa ueledi sisi tunatafuta sifaJana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana.
TISS wengi walitajirika kipindi cha Jiwe, mtindo ulikuwa ni extortion kwa wafanyabiashara na wahindi. Kila mja aliogopa alipokuwa akitishiwa kupachikwa kesi za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha. Kwa sasa hawana nguvu hizo.Kiufupi hawa Tiss wana ukwasi wa kutisha
Una uhakika ndugu yangu ?
Mswahili fahari yake ni kumtisha mwezake. Mswahili anafarijika sana akiona mswahili mwenzake anapata hofu na kukosa amani kwa ajili yakeWote ni mashahidi wale mabaka mabaka, wale wadada wanaokaa pande mbili za Rais hawakuwepo jana nyuma ya Rais
Tujaribu kujifunza wao wanawezaje kumlinda Rais wao bila kukera watu, sasa TV inakuwa unaangalia hata watu wasiohusika wakati anayetakiwa onekana ni Rais pekee.
Kingine PSU iweje wakubali Rais kutembea na msafara mrefu?
Rais wa Marekani msafara wake sio mrefu kama wa Rais wa nchi omba omba
Unaweza kupanga mipango lukuki ila Mungu akaingilia katiTISS wengi walitajirika kipindi cha Jiwe, mtindo ulikuwa ni extortion kwa wafanyabiashara na wahindi. Kila mja aliogopa alipokuwa akitishiwa kupachikwa kesi za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha. Kwa sasa hawana nguvu hizo.
Wote ni mashahidi wale mabaka mabaka, wale wadada wanaokaa pande mbili za Rais hawakuwepo jana nyuma ya Rais
Tujaribu kujifunza wao wanawezaje kumlinda Rais wao bila kukera watu, sasa TV inakuwa unaangalia hata watu wasiohusika wakati anayetakiwa onekana ni Rais pekee.
Yaani wale PSU wakishaonekana kwenye TV, wakipewa off wanasumbua sana watu, wanatapeli watu kuwa tuko karibu na Rais tunaweza fikisha shida yakoKumbe maneno ya kuambiwa. Hakuna lolote. Wapo busy kwenye inbox za wadada wanatuma picha zao wakiwa safarini na suti. Ndio maana hawaaminiki. Nchi unazotaja ni utopolo tupu.
Hawa hadi wanaita watu na kuahidi wanalipa pesa nzuri
Sisi tumekaa kiloco sanaView attachment 2572270
Hicho ndo nakishangaa kama wanachagua marais wagonjwa waseme.Sijawahi kuelewa sababu za Marais au viongozi wakuuu wa Africa kuwa na mwanajeshi/mlinzi anayesimama nyuma yao kila mahali. Hata ndani ya Ikulu mahali ambapo pangetegemewa kuwa mahali salama zaidi unakuta huyo mwanajeshi anasimama nyuma ya Rais wakati anahutubia au kusalimiana na watu!
White House huwa namuona Biden amejiachia tu ana mingle na raia bila watu wa usalama kumfuatafuata!