Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Huyo anayejisifu wewe ukiwa na hela muonyeshe burungutu na minoti tu mbona utampa kichaa.Wapo wapumbavu kibao tu huko kwenu TISS.
Kuna mmoja yeye kila siku akija kijiweni na ka bastola kake kazi ni kupiga story mara alikuwa kwenye msafara wa mama.
Anapenda sifa mbele za mademu.