TISS walibariki UJENZI wa GHOROFA linalotazama IKULU

TISS walibariki UJENZI wa GHOROFA linalotazama IKULU

hilo jengo serikali inabidi ilinunue tu na hamna ujanja tena.

utanunuaje kitu kilichojengwa kwa njia ya Rushwa? hapo kampuni inayolimiliki pamoja na hao maofisa wanatakiwa kuwajibishwa na serikali ilitaifishe
 
ikulu.JPG
Haya ndiyo maendeleo Jk anayoyataka
 
mkuu nisaidie kwani TISS wanashughurikia ujenzi wa majumba au ulinzi na usalama wa taifa hili.
Kwa taarifa yako hata wale wauza Samaria pale Ferry ya magogoni ni Tiss, na soko pale lipo kimkakati zaidi.

kuhusu swali lako, wao wanahusika na mfano rahisi ukienda Dodoma kwenye jengo l Bunge kuna hoteli inaitwa 56 imepakAna na Bunge , mbona Tiss wamemfunga camera kwenye hoteli binafsi ya mtu? Jibu usalama .

ikulu huwezi ruhusu ujenzi wa jengo kama hilo hata siku moja , ni hatari kwa usalama wa Rais na wageni wake wote wawapo ikulu
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilizuiwa na TISS kujenga kitega uchumi maeneo hayohayo na kuamriwa wakajenge kwingine (next na Avalon house). Ni jukumu la TISS kuhakikisha usalama wa Ikulu

kwani tiss ni idara ya majengo na ujenzi? bado hamjanipa jibu.
 
mimi kunakitu sijaelewa kwani TISS inahusikaje na majengo huyu jamaa kachanganyikiwa kweli.

Mkuu, labda anataka kesi hiyo isiendelee kwa vile sheria ya TISS hairuhusu viongozi wa TISS kutoa ushahidi mahakamani. Bongo hii bana! UJANJA KIBAO
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilizuiwa na TISS kujenga kitega uchumi maeneo hayohayo na kuamriwa wakajenge kwingine (next na Avalon house). Ni jukumu la TISS kuhakikisha usalama wa Ikulu
Wakili she vijana hawa ambao badala ya kutaka kujifunza wao ni ubishi tu bila sababu.
 
Na Happiness Katabazi

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo nchini (TBA,) Togolai Kimweri anayekabiliwa na mashtaka matano ya matumizi mabaya ya ofisi na mwenzake, ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama Taifa (TISS) Rashid Othman, Ikulu waliliridhia kwa maandishi ujenzi wa ghorofa 18 wa jengo linalotazamana na Ikulu.

Kimweri alitoa Maelezo hayo jana mbele ya hakimu Mkazi, Sundi Fimbo wakati alipokukua akiongozwa na Wakili Richard

Rweyongeza na Henri Masaba kutoa utetezi wake ambapo alieleza kuwa ni Idara hiyo ya Usalama wa Taifa (TISS) iliiomba TBA iwapatie ghorofa kwa ajili ya ofisi ya TISS.
Hapa kuna kitu ambacho sio kizuri kinaendelea lakini hakitajificha kwa muda mrefu. Ukweli una tabia ya kujificha mpaka watokeee werevu, majasiri na wasafi wa mioyo ndipo ujulikana.
Fuatilieni hili jengo na mtakuja kushtuka siku ukweli ukijulikana juu ya mmiliki halisi badala ya haya majina ya mbele ya pazia.

 
Kwa taarifa yako hata wale wauza Samaria pale Ferry ya magogoni ni Tiss, na soko pale lipo kimkakati zaidi.

kuhusu swali lako, wao wanahusika na mfano rahisi ukienda Dodoma kwenye jengo l Bunge kuna hoteli inaitwa 56 imepakAna na Bunge , mbona Tiss wamemfunga camera kwenye hoteli binafsi ya mtu? Jibu usalama .

ikulu huwezi ruhusu ujenzi wa jengo kama hilo hata siku moja , ni hatari kwa usalama wa Rais na wageni wake wote wawapo ikulu

hiyo camera mkuu ipo upande gani pale domu kwenye hiyo hotel ili nikienda dom nikapige chabo niione.
 
taasisi ya mwalimu nyerere ilizuiwa na tiss kujenga kitega uchumi maeneo hayohayo na kuamriwa wakajenge kwingine (next na avalon house). Ni jukumu la tiss kuhakikisha usalama wa ikulu
ushahidi wa hicho ulichoandika uko wapi? Mwanzo nilikuwa nakukubali sana kwa tabia yako ya kutoa hoja kwa ushahidi iwe kwa picha au maneno. Sasa kimekusibu nini? Najua tunatofautiana kiitikadi za kisiasa lakini unapofanya vizuri unastahili pongezi
 
[h=1]MATAPELI WAWILI WANASWA WAKIJARIBU KUTAPELI KWA KUJIFANYA NI USALAMA WA TAIFA, WAPEWA KIPONDO HEAVY. SOMA HAPA[/h]
IMG_6209.jpg
IMG_6224.jpg

Watu wawili wanaotuhumiwa kuwa ni wezi a.k.a Wapigaji/Matapeli wamekamatwa usiku huu kwenye hoteli ya Picolo,Kawe jijini Dar es Salaam.

Watu hao ambao wamekamatwa ni Bw. Takula Mayenga mkazi wa Mbezi Temboni na Bw. Juma Hamis ambaye ni mkazi wa Tabata wakiwa na nyaraka tofauti ikiwemo kitambulisho kinachotaja kuwa ni cha Idara ya Usalama wa Taifa, kadi za benki pamoja na simu zaidi ya kumi,wakiwa katika harakati za kumtapeli mwanadada mmoja aliejitambulisha kwa jina la Rebecca ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo cha Biashara cha CBE,Mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar es Salaa .

Akisimulia tukio dada huyo ambaye alipatwa na tukio hilo la kutapeliwa Ijumaa ya wiki iliyopita alisema kuwa, ilikuwa ni Ijumaa iliyopita wakiwa wamekaa katika fukwe wakipunga upepo ndipo alipokuja tapeli huyo na kukaa nao na baadae aliwawekea madawa ya kulevya na kuondoka na dada huyo kwenda kumtupa baharini.












back-to-top-small-1%5B4%5D.png
 
Thamani ya viwanja namba 46 na 45 inazidi billion 9.? Wanatumia njia gani kukokotoa thamani ya kiwanja. Mbona bei ni kubwa sana.?
 
Kwa taarifa yako hata wale wauza Samaria pale Ferry ya magogoni ni Tiss, na soko pale lipo kimkakati zaidi.

kuhusu swali lako, wao wanahusika na mfano rahisi ukienda Dodoma kwenye jengo l Bunge kuna hoteli inaitwa 56 imepakAna na Bunge , mbona Tiss wamemfunga camera kwenye hoteli binafsi ya mtu? Jibu usalama .

ikulu huwezi ruhusu ujenzi wa jengo kama hilo hata siku moja , ni hatari kwa usalama wa Rais na wageni wake wote wawapo ikulu
Mkuu sasa huu uongo tiss nakuuza samaki tena aaaaa! Huu ni uongo sasa hebu jenga hoja ueleweke.
 
hiyo camera mkuu ipo upande gani pale domu kwenye hiyo hotel ili nikienda dom nikapige chabo niione.
Haiko moja , wewe nenda tu utaziona ......ni kuzuia Snippers kapanda chumba cha ghorofa ni na kushambulia ama mbunge au yeyote mle Bungeni , na hizo camera ni 24 hrs Surveillance .......kama unakumbuka skendo ya dr.slaa kuwekewa vinyasa sauti chumbani , camera hizo ndio zilimnasa mahusiano , ila kwa kuwa alikuwa ametumwa kikazi ,,,,,,,
 
Sijui ueleweshweje? Hivi "snipper" akipanda juu kabisa ya ghorofa hilo si anamuona Rais akiwa Ikulu na kumdungua kirahisi? Hapo bado hujaona umuhimu wa TISS kuratibu majengo marefu yanayo zunguka ikulu?

Mkuu, labda kuna kitu sijaelewa au wengi tunachangia kwa ushabiki au hisia. Mchakato upoje wa majengo marefu?
 
ushahidi wa hicho ulichoandika uko wapi? Mwanzo nilikuwa nakukubali sana kwa tabia yako ya kutoa hoja kwa ushahidi iwe kwa picha au maneno. Sasa kimekusibu nini? Najua tunatofautiana kiitikadi za kisiasa lakini unapofanya vizuri unastahili pongezi

Mimi sina itikadi bali siikubali CCM na mambo yake yote! Ushahidi huu hapa.........usome vizuri kabla ya kulipuka!

State House Objection:

However, for security reasons the State House raised an objection to the construction of a 20 storey building on plot Nos. 60 and 61, which were in the "Security Zone". The Ilala Municipal Council issued a permit for a six storey building instead of a 20 storey building. The State House promises to find an alternative plot for the Foundation for its 20 storey building.


Following a meeting On 17th July, 2010 at the State House to discuss plot No. 2217/1/168 as an alternative site for the Foundation, it was agreed that the City Council should surrender plot No. 2217/1/168 so that it may be reallocated to the Foundation.


The Chief Secretary communicated Government decision to the Permanent Secretary, Ministry of Lands, Housing and Human Settlement that it has been decided that the Mwalimu Nyerere Foundation has been allocated plot No. 2217/1/168 which is owned by the City Council and that the City Council should be allocated plot Nos. 60 and 61 held by the Foundation. To facilitate the transaction both the City Council and the Foundation surrendered their title deeds.


Source: http://www.nyererefoundation.org/sites/downloads/The-Mwalimu-Nyerere-Foundation-Building-Project.pdf
 
Back
Top Bottom