Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,577
Nilimaanisha , wasaidie ........hapo ulikuwa una maana gani mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha , wasaidie ........hapo ulikuwa una maana gani mkuu?
Hili ni jengo refu ,linaitazama Ikulu kwa chini, Tiss wanawajibu wa kufanya surveillance kwa kila jambo karibu na Ikulu. Ningeshangaa kama Tiss was ingekuwa wamehusika
ushahidi wa hicho ulichoandika uko wapi? Mwanzo nilikuwa nakukubali sana kwa tabia yako ya kutoa hoja kwa ushahidi iwe kwa picha au maneno. Sasa kimekusibu nini? Najua tunatofautiana kiitikadi za kisiasa lakini unapofanya vizuri unastahili pongezi
Mimi sina itikadi bali siikubali CCM na mambo yake yote! Ushahidi huu hapa.........usome vizuri kabla ya kulipuka!
Source: http://www.nyererefoundation.org/sites/downloads/The-Mwalimu-Nyerere-Foundation-Building-Project.pdf
Sijui ni kujibu nini wewe mtu .....ngoja nia hie wengine ...does surveillance has to do with kutoa vibali???
Bora umeweka ushahidi, kuna watu hulka yao ni ubishi tu
Hili ni jengo refu ,linaitazama Ikulu kwa chini, Tiss wanawajibu wa kufanya surveillance kwa kila jambo karibu na Ikulu. Ningeshangaa kama Tiss was ingekuwa wamehusika
Kwa mazingira ya ujenzi wa majengo makubwa katika maeneo yanayozunguka makao ya serikali (ikulu) yaweza kuwa TISS waliombwa kushirikishwa,Kwani TISS ndo wanatoa vibali vya ujenzi? acheni jamani kuleta propaganda kwenye mambo ya msingi.
Mimi sina itikadi bali siikubali CCM na mambo yake yote! Ushahidi huu hapa.........usome vizuri kabla ya kulipuka!
Source: http://www.nyererefoundation.org/sites/downloads/The-Mwalimu-Nyerere-Foundation-Building-Project.pdf
Kwa mazingira ya ujenzi wa majengo makubwa katika maeneo yanayozunguka makao ya serikali (ikulu) yaweza kuwa TISS waliombwa kushirikishwa,
Mimi sina itikadi bali siikubali CCM na mambo yake yote! Ushahidi huu hapa.........usome vizuri kabla ya kulipuka!
Source: http://www.nyererefoundation.org/sites/downloads/The-Mwalimu-Nyerere-Foundation-Building-Project.pdf
Hadi limekamilika kwa ujenzi TISS nao walikua wapi?Hadi waje CIA na FBI katika ziara ya Obama ndio watoe lecture?
I feel ashamed.Utadhani uzembe huo wa kitaaluma nimeufanya mimi
Kwa taarifa yako ghorofa tatu za juu yaani 15-18 zimechukuliwa na Tiss .....kuna kitu kinaendelea .......tu ute subra kuna jambo kubwa ndani yake ......kwanza kuijua jinsi Kiwanja kilivyodhulumiwa toka kwa yule Prof.wa Mwalimu utatumika sana .Kwa ushahidi wako huu, ni wazi kuwa ni TISS ndio waliotoa ushauri mpaka jengo hilo la ghorofa 20 likazuiwa na badala yake wahusika wakapewa kiwanja kingine. Swali la kujiuliza, iweje hawa jamaa wapewe kibali cha kujenga ghorofa 15 wao wakaextend hadi 18? ushahidi wao kuwa TISS na IKULU walibariki unatia shaka
Kwa mazingira ya ujenzi wa majengo makubwa katika maeneo yanayozunguka makao ya serikali (ikulu) yaweza kuwa TISS waliombwa kushirikishwa,
Kwa ushahidi wako huu, ni wazi kuwa ni TISS ndio waliotoa ushauri mpaka jengo hilo la ghorofa 20 likazuiwa na badala yake wahusika wakapewa kiwanja kingine. Swali la kujiuliza, iweje hawa jamaa wapewe kibali cha kujenga ghorofa 15 wao wakaextend hadi 18? ushahidi wao kuwa TISS na IKULU walibariki unatia shaka
Hili ni jengo refu ,linaitazama Ikulu kwa chini, Tiss wanawajibu wa kufanya surveillance kwa kila jambo karibu na Ikulu. Ningeshangaa kama Tiss was ingekuwa wamehusika
hawa ndio waandishi makanjanja wanaotakiwa kutungiwa sheria zenye adhabu kali kabisa, kazi kuandika uongo na uzushi
Tiss ni wakala wa majengo?Hadi limekamilika kwa ujenzi TISS nao walikua wapi?Hadi waje CIA na FBI katika ziara ya Obama ndio watoe lecture?
I feel ashamed.Utadhani uzembe huo wa kitaaluma nimeufanya mimi