Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,726
Idara ya usalama inahusika na kila kitu kinachohusu usalama wa wananchi!
Hata ikitokea mlipuko wa gonjwa hatari kama ebola lazima kwa nchi inayoongozwa kwa weledi idara ya usalama ihusike ili kuchunguza kama kuna ugaidi uliohusika au la, wakati wana sayansi na madaktari wakikabiliana na virus na wagonjwa.
Hata ikitokea mlipuko wa gonjwa hatari kama ebola lazima kwa nchi inayoongozwa kwa weledi idara ya usalama ihusike ili kuchunguza kama kuna ugaidi uliohusika au la, wakati wana sayansi na madaktari wakikabiliana na virus na wagonjwa.