Title gani ya kitabu, novel au hadithi linayokuvutia sana?

Title gani ya kitabu, novel au hadithi linayokuvutia sana?

1. Dede ka chamo lum kucha
2. Akeyo konyo min moyo gwen chiemo
3. Atieno achach
4. Tugo kelo koko
5. Poko nyar migumba
6. Aprina kod mamoko
7. Sigendni moko ma'duogo chuny
8. Ogot kod Nyangeye
9. Akeyo olal echiro
Ni vitabu vya kijaluo nini...?
 
Zamani nilidhani, "Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku." Ni title ya hadithi moja. Ilikuwa inanitatiza daily.
 
Mifupa 206,hili jina nilipolisoma tu nikatabasam nikajiuliza kunanini kwenye hichi kitabu..? Ni kitabu kizuri sana by Kelvin mponda.

Mikononi mwa nunda!,nguli na mwandishi wangu pendwa ben mtobwa hajawahi niangusha ktk uandishi mzuri,makini na wenye lugha tamu!.

Najisikia kuua Tena by ben mtobwa

Vipepeo weusi by the bold a.k.a H.B ANGA. Ni kijina fulani ambacho kinatafakarisha!.

KENZY nakuja piemu unisaidie soft copy zake mpenzi
 
Iko ingine.
vumbi la kitintale
 
"ulishawahi kula tunda kimasihara" ni moja kati ya riwaya yenye mvuto sana
 
Sukuma namba nane.
Things fall apart.
The lion and the jewel.
 
Mwenye pdf ya siri iliotesa maisha yangu by erick shigongo naiomba, ninataman niirudie
 
DON'T SLEEP,THERE ARE SNAKES by Daniel l everret
 
Jamani babu kaju!!, Kipande Cha Sabuni,ALAMBA ALAMBA TENA...!( BY Magazeti ya udaku)
 
Back
Top Bottom