Hahaha..kumbuka Kabendera amekili makosa yake na anaomba sana asamehewe, nyie mnaotetea "uhaini" wakati hamjui nini kilikuwa kinaendelea ndo mnawaponza, yajayo yanafurahisha kweli kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
..halafu najiuliza ni kwa nini hawa polisi wasiwakamate hao wakina maria sarungi na fatma karume...?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi haiwezi kusambaratika kwa sababu ya wasaliti. Itaendelea kuwa imara na yenye nidhamuKuna kila dalili ya nchi kusambaratika
yes lakini wanamushida mkubwa kwa akili 😉Kumbe ni wavulana wadogo Sana...
umenivuja bavu kwa kicheko na hii yako mkuu, lakini pls kuwa serious kidogo, hii serikali hata afadhali ya saddam hussein akiAtapewa kesi ya kuichelewesha ndege Canada akisaidiana na Mkulima
Nyie in type za watu hamjawahi kufika polisi au hospitali za kiafrika na issue serious. Ukisikia uswahilini watu wanabambikiwa kesi usidhani ni utani, ukisikia watu wanakufa mahospitalini kwa uzembe usidhani ni story. Ukiwa Afrika unaishi kwa kubahatisha haupo salama kama unavyodhani. Hao polisi, dokta na manesi hawajali kuhusu utu wako na roho zao haziwasuti.Sio fresh kabisa....
wanaowaandalia wenzao mashtaka ya namna hii nafsi zao zitawasuta.....
washtakini watu kwa haki.....
usimuonee mtu....
wala usimuogope mtu...
Wa pili kutoka kushoto kama wewe sio mtumiaji wa TwitterTito ni yupi katika picha hapo juu?
Hapana hapana haitawezekana madam tafadhali kwa Mambo mazito kama haya haiwezekani
Pumbavu Sana hii serikali ya Masanja Mkandamizajiumenivuja bavu kwa kicheko na hii yako mkuu, lakini pls kuwa serious kidogo, hii serikali hata afadhali ya saddam hussein aki
Taaarifa za chini ya kapeti zinasema kuwa walikuwa wanaenda kupotezwa wazima wazima, kilichowaokoa ni Dereva aliye mpeleka Tito had kwa hao watekaji alipomfikisha tu waliompokea mmoja wao anafahamiana na huyo Dereva aliempeleka Tito na wakaanza kufanya Kazi Ya ziada kutaka kujua Kama Yule Dereva anamjua Tito wakakuta Yule Dereva anamfaham Tito na anamfaham mmoja wa watekaji, hivyo ikabidi watekaji na uongozi wao wajadiliane Kwa kina Kwa muda wa Siku Tatu ndipo wakaaamua kuwakabidhi Kwa mambo sasa baada ya kuona Hakuna jinsi
Afisa wa LHRC, Tito Magoti pamoja na mwenzake (kama wanavyoonekana pichani) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mchana huu
Hata hivyo bado haijafahamika wamefikishwa Mahakamani hapo kwa tuhuma gani
Tito Magoti pamoja na wenzake walitoweka siku 4 zilizopita kabla ya Polisi kujitokeza na kueleza kuwa waliwakamata na kuwashikilia.
====
UPDATE:
View attachment 1302260
View attachment 1302258View attachment 1302259
Magoti apandishwa kizimbani kwa Uhujumu Uchumi
Mfanyakazi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu ikiwemo la kutakatsha pesa shilingi Milioni 17.
Katika shitaka hilo Magoti amejumuishwa na wenzake Mtaalam wa Masuala Mtandao wa LHRC Theodory Giyan, ambao wote mnamo February Mosi na Disemba 17 wanatajwa kumiliki Program za Kompyuta na baadaye kujipatika Milioni 17 ambazo si zao.
Shtaka linamkabili na Magoti na Giyani ni kuwa sehemu ya Mtandao wa kiuhalifu, pamoja na kumiliki Mtandao wa Kompyuta uliotengenzwa kwa ajili ya kufanya uhalifu.
Hakimu anayesimamia Kesi ya Magoti na Wenzake ni Janeth Mtega ambapo kesi hiyo sasa imesogezwa mbele hadi January 7, 2020 huku washtakiwa hao wakirejeshwa rumande kutokana na aina ya makosa wanayoshtakiwa kukosa dhamana.
Magoti alikamatwa Ijumaa la Disemba 20, akiwa maeneo ya Mwenge jijini Dar es salaam huku siku chache baadaye Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam akithibitisha kuwa Jeshi hilo kumshikilia Tito Magoti lakini bila kueleza sababu yake.
Hao polisi ni middleman tu! Wametumwa na Jiwe malaika mkuuNyambafu nyie polisi. The only words I can say. What is the name of that software ? Walitaka kumuibia nani hizo pesa ?
Nchi sio mali ya mtu, nchi haiendeshwi kwa misingi ya mamlaka inapenda nini?Utii bila shuruti. Tii mamlaka ya nchi hususani mwenye mamlaka akisema hapendi kitu Fulani[emoji41]acha usifanye. Hutagombana na mtu
Sent using Jamii Forums mobile app