Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ni Upuuzi mtupu kesi za KUBUMBABUMBA Possession of computer program na kujipatia 17m ndio ikamfanya ATEKWE?hii nchi vituko haviishi
sasa mahakamani kwa kosa gani?
Umenikumbusha nyimbo moja ya Dube- Victim, alimnukuu Bob kuna hicho kipande cha "How long shall they kill our prophecy, while stand a side and see"
Husemi , duh! kwa vile anayeyafanya ni Msukuma! habari ya christmas!Duh!...
P
Kaendelee jukwaa la siasa na mada zako za kumsifu jpmDuh!...
P
Kesho ni kwa anayekuhus
Paskali ni mnafiki aiseeHusemi , duh! kwa vile anayeyafanya ni Msukuma! habari ya christmas!
Heri mimi sijasema
mmmh!Wakatikati..😋😋😋 ana body fula😎
Kuna mtu aliwahi kusema kuwa ukienda makanisani na misikitini, wachawi ndio wanaoenda kusali na kuswali kila siku. Na ndio ambao jina la Mungu na Allah hayapungui midomoni mwao.Jaman kwann uhujumu uchumi imekua kichaka cha kuonea watu huku kila siku tupo kanisan