FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahakama ipi uliyokusudia ww itowe haki kama ni hiyo inayoendeshwa kwa rimoti sahauSawa, mahakama itaweza kuwatendea haki lakini wale waovu wanatumia.nafasi hiyo.kuwaumiza wenye chuki nao kwa kuwapa mashitaka yasiyo na dhamana na visingizio chungu tele kuwa bado wanaendelea na uchunguzi ili waendelee kusota magerezani. Wanasema "fumbo mfumbie mjinga" .
Hujui kusoma au?hii nchi vituko haviishi
sasa mahakamani kwa kosa gani?
The Dictatorship at its best. Governing by terror.Duh...!,
P
huu utawala wa jiwe unatakiwa ufike mwisho 2020
Afisa wa LHRC, Tito Magoti pamoja na mwenzake (kama wanavyoonekana pichani) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mchana huu
Hata hivyo bado haijafahamika wamefikishwa Mahakamani hapo kwa tuhuma gani
Tito Magoti pamoja na wenzake walitoweka siku 4 zilizopita kabla ya Polisi kujitokeza na kueleza kuwa waliwakamata na kuwashikilia.
====
UPDATE:
View attachment 1302260
View attachment 1302258View attachment 1302259
2020 Kutakuwa hakuna masikilizano, sababu wakati anapiga kampeni za ufundi uashi na uofisa manunuzi SISI TUTAPIGA UHURU.huu utawala wa jiwe unatakiwa ufike mwisho 2020
nikikumbuka EPA,IPTL na ESCROW kweli haki imekaa mbali
Mwenye sando nyekunduTito ni yupi katika picha hapo juu?
Mwenye sando nyekundu na tshet nyekundu .Tito ni yupi katika picha hapo juu?
Kaaaaaaa!!!
Afisa wa LHRC, Tito Magoti pamoja na mwenzake (kama wanavyoonekana pichani) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mchana huu
Hata hivyo bado haijafahamika wamefikishwa Mahakamani hapo kwa tuhuma gani
Tito Magoti pamoja na wenzake walitoweka siku 4 zilizopita kabla ya Polisi kujitokeza na kueleza kuwa waliwakamata na kuwashikilia.
====
UPDATE:
View attachment 1302260
View attachment 1302258View attachment 1302259
Kwan lazima uyajue mkuu,kwan hao hawana hak kukamatwa kama raia wengne,hii nchi vituko haviishi
sasa mahakamani kwa kosa gani?
Inauma sana sana kwakweli 🤔 🤔Sio fresh kabisa....
wanaowaandalia wenzao mashtaka ya namna hii nafsi zao zitawasuta.....
washtakini watu kwa haki.....
usimuonee mtu....
wala usimuogope mtu...
wakati unapakuliwa
Naunga mkono hoja.