Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa Mahakamani, wafunguliwa mashtaka 3 yakiwemo ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji Fedha

Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa Mahakamani, wafunguliwa mashtaka 3 yakiwemo ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji Fedha

Haya ndiyo mashtaka anayokumbana nayo ndg Tito Magoti na mwenzake
 

Attachments

  • IMG-20191224-WA0011.jpg
    IMG-20191224-WA0011.jpg
    43.9 KB · Views: 2
Redemption song, song of freedom.
Umenikumbusha nyimbo moja ya Dube- Victim, alimnukuu Bob kuna hicho kipande cha "How long shall they kill our prophecy, while stand a side and see"
Anyway hizi mada zimenizidi nguvu siku hizi, naishia tu kuwa mpenzi msomaji.
Isije kuwa
#BringbackNjopino

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wengi wapuuzi watailaumu serikali, sikieni kuna matukio ya kihalifu hufanyika na wanao jiita wanaharakati yanayohatarisha usalama wa nchi sasa wakishughulikiwa viherehere wanajifanya wanajua sana haki. Wakati mwingine jifunzeni kunyamaza, uongozi si kitu rahisi na hakuna kiongozi wa kuonea watu hovyo, polisi fanyeni kazi yenu wapuuzi wote wasakwe.
 
Kwahiyo Moderators
@Mod Three
@Active
@Innovator
@Moderator
@Mod One

MMEKAA KABISA NA KUTAFAKARI NA KUKUBALIANA HII NI HABARI YA KULETW AHUKU " HABARI MCHANGANYIKO"

labda niwaulize tu?
Mnaficha nini?
hamtaki watu waone hayo mashtaka?
hivi hii haikuw ahabari ingepaswa kuw apinned kabisa juu kule?

Ushahuri:
Jichunguzeni na hasa huyu aliyeileta huku hii hakika nawaambieni sio mwenzetu JF.
JF Imetekwa hakika.
Kwani mkuu wao hawajipendi?
 
Makosa yote hayana dhamana, labda akubali na kukiri makosa kwa DPP na kusubiria msahama.
Binafsi sina tatizo na makosa wanayoshitakiwa nayo, tatizo langu ni jinsi polisi walivyohusika na ukamataji wa Tito, hilo lanishangaza sana.

Kinachonishangaza zaidi ni kuwa ili kujisafisha na mbinu ambazo polisi hutumia, huwa wanawatuhumu wahamga kewa makosa hayohayo- kutakatisha fedha na uhujumu wa uchumi ili kufunga dhamana. Tuliona hivyo kwa Kabendera, staili ile ya ukamataji na kosa aliloshitakiwa nalo vinafanana kabisa na staili waliyotumia kwa Tito.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi sina tatizo na makosa wanayoshitakiwa nayo, tatizo langu ni jinsi polisi walivyohusika na ukamataji wa Tito, hilo lanishangaza sana.

Kinachonishangaza zaidi ni kuwa ili kujisafisha na mbinu ambazo polisi hutumia, huwa wanawatuhumu wahamga kewa makosa hayohayo- kutakatisha fedha na uhujumu wa uchumi ili kufunga dhamana. Tuliona hivyo kwa Kabendera, staili ile ya ukamataji na kosa aliloshitakiwa nalo vinafanana kabisa na staili waliyotumia kwa Tito.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu wahuni hukamatwa kihuni
 
Back
Top Bottom