Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa Mahakamani, wafunguliwa mashtaka 3 yakiwemo ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji Fedha

Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa Mahakamani, wafunguliwa mashtaka 3 yakiwemo ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji Fedha

Nchi ilishaingiliwa hiii nyie endeleeeni kushangilia kuwa aongezewe miaka, endeleeeni tu had yatakapowakuta Ndugu zenu ndio mtajua kuwa Nyumba imeingiliwa na, ule Wimbo wa naniiiii kuwa nyumbani kwetu ameingia......

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu mpuuzi unaimba wimbo wa nini? mbona Kabendera mlipiga mayowe anaonewa na baada ya mwenyewe kuomba msamaha mkakaa kimya, hakuna cha msamaha, tulieni myajue wanoyafanya na sheria (haki) ichukue mkondo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Kwahiyo ukiwa na mahusiano na Fatma Karume, Maria Sarungi na Zitto Meko anakubambikia kesi ya utakatishaji fedha.
Hivi ni watanzania wangapi watawabambikia kesi kama hizi?

Mwambieni Meko, hakuna mtawala wa kariba yake aliyeishia pazuri. Aache ulimbukeni. Wakosoaji hawataisha mpaka kiama kitakapokuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ukiwa na mahusiano na Fatma Karume, Maria Sarungi na Zitto Meko anakubambikia kesi ya utakatishaji fedha.
Hivi ni watanzania wangapi watawabambikia kesi kama hizi?

Mwambieni Meko, hakuna mtawala wa kariba yake aliyeishia pazuri. Aache ulimbukeni. Wakosoaji hawataisha mpaka kiama kitakapokuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unajificha nyuma ya keyboard jitokeze ukosowe wazi na kwa adabu mkuu
 
Mambosasa na Wahuni wenzake wanashindiwa nini kwenda kuwakamata akina Maria Sarungi, Fatma Karume na Zito Kabwe moja kwa moja? Kuna shida gani hadi kufikia kuhangaisha hawa vijana? Pumbavu zao kabisa.
 
Hii taarifa ya LHRC ina facts za kuaminika kweli?

Mahojiano yatofautiane na mashtaka?

Najiuliza lengo ni stirring up au kusaka public syampath? Kuna kitu kinafunikwa kwa lazima kwa hizi taharuki
Kwa muda wote ambao Tito Magoti na Theodory Giyan wamekuwa kizuizini wamehojiwa kuhusu harakati zao mitandaoni, uhusiano wao na Maria Sarungi, Fatma Karume, na Zitto Kabwe na uvumi wa kwenye mitandao, LHRC imeeleza.

View attachment 1302554

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ukiwa na mahusiano na Fatma Karume, Maria Sarungi na Zitto Meko anakubambikia kesi ya utakatishaji fedha.
Hivi ni watanzania wangapi watawabambikia kesi kama hizi?

Mwambieni Meko, hakuna mtawala wa kariba yake aliyeishia pazuri. Aache ulimbukeni. Wakosoaji hawataisha mpaka kiama kitakapokuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
..halafu najiuliza ni kwa nini hawa polisi wasiwakamate hao wakina maria sarungi na fatma karume...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ukiwa na mahusiano na Fatma Karume, Maria Sarungi na Zitto Meko anakubambikia kesi ya utakatishaji fedha.
Hivi ni watanzania wangapi watawabambikia kesi kama hizi?

Mwambieni Meko, hakuna mtawala wa kariba yake aliyeishia pazuri. Aache ulimbukeni. Wakosoaji hawataisha mpaka kiama kitakapokuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kosa kubwa kushirikiana na wahaini

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambosasa na Wahuni wenzake wanashindiwa nini kwenda kuwakamata akina Maria Sarungi, Fatma Karume na Zito Kabwe moja kwa moja? Kuna shida gani hadi kufikia kuhangaisha hawa vijana? Pumbavu zao kabisa.
Kuufuta mti unaanzia mizizi

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom