Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Tizama Katika Picha Namna Watu walivyofurika Maelfu Kwa Maelfu Kumlaki na kumsikiliza Rais Samia Mkoani Ruvuma

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.

Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.

Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.

Screenshot_20240924-142734_2.jpg
Screenshot_20240924-142745_1.jpg
Screenshot_20240924-142734_2.jpg


Hapa chini pichani akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.

Screenshot_20240924-142805_1.jpg
 
Wanafunzi wa shule za msingi mmekusanya wangapi? Zoom in tuone.
Utakufa na chuki zako binafsi na wivu .hasa baada ya kuona maandamano yenu yamefeli na kukimbiwa na watu wote Mliokuwa Mkiwategemea kuwaunga mkono.
 
Nikiwa mdogo tuliposikia Nyerere anakuja tulitamani sana tumuone, siyo kwa sababu tulimpenda bali tulikuwa tunasikia habari zake na kumsikia kwenye redio Tanzania. Kwenda kumshuhudia mtu siyo lazima awe anapendwa ni kama vile mkisikia kuna mchawi amekamatwa tutakwenda kwa wingi lakini siyo kwa sababu tunampenda mchawi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Muwe mnaelewa na kukubali ukweli kuwa hakuna mtu anayekubalika na kuaminika kwa sasa kumpita Rais Samia katika uwanja na ulingo wa siasa .Tukubali kuwa RAIS Samia hana Mbadala wake kwa sasa katika kuongoza muhula wa pili.tukubali ukweli kuwa CCM inapaswa kuchapisha Fomu moja tu ya Urais kwa ajili ya Mama yetu Mpendwa Rais Samia.

Ni lazima tukubali kuwa CCM Ina chaguo moja tu kwa nafasi ya Urais ambaye ni Mama Samia. Tusema ukweli kuwa hakuna mtu yeyote yule mwenye uwezo wala ushawishi wala nguvu wala uwezo wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais Samia katika sanduku la kura.

Rais Samia ndiye mtu pekee anayekubalika,kuaminika,kuaminiwa,kukubalika,kupendwa , kuungwa mkono na Mwenye ushawishi Kwa mamilioni kwa mamilioni ya watanzania.ndiye aliyebeba na kushikilia matumaini na furaha ya watanzania.ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili .unune au utukane matusi hadi ya nguoni kwa chuki zako binafsi.lakini ukweli unabakia kuwa RAIS Samia ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Embu tizama katika picha hizi namna Rais wetu Mpendwa alivyolakiwa na kupokelewa kwa maelfu kwa maelfu katika ziara yake huko Ruvuma. Kwa hakika huyu Mama ni kipenzi cha watanzania.hazuiliki huyu mama katika mioyo ya watanzania.

View attachment 3105353View attachment 3105355View attachment 3105356

Hapa akionyesha upendo wake kama mama kwa kuwabeba watoto juu ya gari yake na kuonyesha namna alivyo mama mwenye upendo kwa watoto .ndio maana anajenga shule kwa wingi,kuajiri walimu na kujenga vituo vya afya kwa ajili ya watoto hawa.

View attachment 3105359
Hiyo ni gharika ya mapenzi, uzalendo, uaminifu na utii wa waTanzani kwa kiongozi wao wa Taifa na mkuu wa nchi.
Unstoppable CCM Presidential Candidate come 2025-2030👊👊💪💪
 
Hiyo ni gharika ya mapenzi, uzalendo, uaminifu na utii wa waTanzani kwa kiongozi wao wa Taifa na mkuu wa nchi.
Unstoppable CCM Presidential Candidate come 2025-2030👊👊💪💪
CHADEMA wakiona hivi na wakikumbuka namna walivyokataliwa kwenye maandamano yao uchwara wanabakia wanatukana matusi tu kama vichaa au wendawazimu
 
Nikiwa mdogo tuliposikia Nyerere anakuja tulitamani sana tumuone, siyo kwa sababu tulimpenda bali tulikuwa tunasikia habari zake na kumsikia kwenye redio Tanzania. Kwenda kumshuhudia mtu siyo lazima awe anapendwa ni kama vile mkisikia kuna mchawi amekamatwa tutakwenda kwa wingi lakini siyo kwa sababu tunampenda mchawi.
Naona mmeanza kuweweseka sasa na mapokezi mazito anayoyapata Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
 
Back
Top Bottom