Tizama Mbowe anavyofurahia safari za Ikulu. Haonekani kuwa Serious Ndo Maana hata Mazungumzo ya huko yanakosa Tija

Tizama Mbowe anavyofurahia safari za Ikulu. Haonekani kuwa Serious Ndo Maana hata Mazungumzo ya huko yanakosa Tija

Mbona sijaona ukiweka picha kadhaa tuone anavyocheka cheka kila mara nadala yake umetuonesha akitabasamu tena naona hata Rais ametabasamu kwenye picha... By the way picha ni moja tu hiyo umeizoom ukaikata kipande tuone kwa karibu kisha ukairudia ikiwa full bila kuzoom
 
Mbona sijaona ukiweka picha kadhaa tuone anavyocheka cheka kila mara nadala yake umetuonesha akitabasamu tena naona hata Rais ametabasamu kwenye picha... By the way picha ni moja tu hiyo umeizoom ukaikata kipande tuone kwa karibu kisha ukairudia ikiwa full bila kuzoom
Mkiambiwa mwende shule mnakuwa wabishi. Mnaamini kujua kusoma na kuandika inatosha. Yaani kabisa wewe unaona picha ni moja huoni tofauti ya mikono ya Samia? Shule inasaidia kuchangamsha ubongo pia siyo kufuta Ujinga tu.
 
Kwa hiyo unavyotukana unajiona bonge moja la mjanja...😄😄😄...Chadema bana.... Watu

Nasema hivi, katafute makhanithi wenzio ndio muongelee habari za juice, nguruwe pori ww.
 
Kila picha yeye utamwona anatabasamu flani hivi la.... Sisi watoto wa Mjini tunaelewa. Kuwa kwake mambo fresh...

Wenzie wote huwa wanaonesha wapo serious. Yeye anapataje nafasi ya kutabasamu nchi yenyewe ishakuwa ngumu hii? Anachochekelea ni nini hasa?

Yaani hata Samia anamshinda amechora uso wa u serious. Yeye anacheka cheka kila wakati. Anafurahia kwenda Ikulu kupiga picha? Matokeo yake wanayapuuzia hata wanayokubaliana. Mtoto wa kiume unatakiwa kuwa serious kwenye mambo ya msingi.

Baadaye muanze kulalamika kuwa mambo yenu hayatimizwi. Yatatimizwa vipi hamwoneshi kuwa serious. Unapataje muda wa kutabasamu katika hali ya kizungumzuki kama hii kwenye nchi.

View attachment 2233089

View attachment 2233091
Alizaliwa 1961 mwaka ambao Nchi inapata UHURU, ni Freeman, HAKI inakaandani yake, Hatua hiyo uionayo ktk picha wengi wametangulia mbele za HAKI wakitamani kuiona wasiweze. Ni KWEMA MBELENI. Amen.
 
Kila picha yeye utamwona anatabasamu flani hivi la.... Sisi watoto wa Mjini tunaelewa. Kuwa kwake mambo fresh...

Wenzie wote huwa wanaonesha wapo serious. Yeye anapataje nafasi ya kutabasamu nchi yenyewe ishakuwa ngumu hii? Anachochekelea ni nini hasa?

Yaani hata Samia anamshinda amechora uso wa u serious. Yeye anacheka cheka kila wakati. Anafurahia kwenda Ikulu kupiga picha? Matokeo yake wanayapuuzia hata wanayokubaliana. Mtoto wa kiume unatakiwa kuwa serious kwenye mambo ya msingi.

Baadaye muanze kulalamika kuwa mambo yenu hayatimizwi. Yatatimizwa vipi hamwoneshi kuwa serious. Unapataje muda wa kutabasamu katika hali ya kizungumzuki kama hii kwenye nchi.

View attachment 2233089

View attachment 2233091
Wacha kujadili watu, jadili issues. Kujadili watu ni upumbavu.
 
Kila picha yeye utamwona anatabasamu flani hivi la.... Sisi watoto wa Mjini tunaelewa. Kuwa kwake mambo fresh...

Wenzie wote huwa wanaonesha wapo serious. Yeye anapataje nafasi ya kutabasamu nchi yenyewe ishakuwa ngumu hii? Anachochekelea ni nini hasa?

Yaani hata Samia anamshinda amechora uso wa u serious. Yeye anacheka cheka kila wakati. Anafurahia kwenda Ikulu kupiga picha? Matokeo yake wanayapuuzia hata wanayokubaliana. Mtoto wa kiume unatakiwa kuwa serious kwenye mambo ya msingi.

Baadaye muanze kulalamika kuwa mambo yenu hayatimizwi. Yatatimizwa vipi hamwoneshi kuwa serious. Unapataje muda wa kutabasamu katika hali ya kizungumzuki kama hii kwenye nchi.

View attachment 2233089

View attachment 2233091
Unanikumbusha ile misemo ya waswahili, unanenepa wakati nakudai.
 
Kila picha yeye utamwona anatabasamu flani hivi la.... Sisi watoto wa Mjini tunaelewa. Kuwa kwake mambo fresh...

Wenzie wote huwa wanaonesha wapo serious. Yeye anapataje nafasi ya kutabasamu nchi yenyewe ishakuwa ngumu hii? Anachochekelea ni nini hasa?

Yaani hata Samia anamshinda amechora uso wa u serious. Yeye anacheka cheka kila wakati. Anafurahia kwenda Ikulu kupiga picha? Matokeo yake wanayapuuzia hata wanayokubaliana. Mtoto wa kiume unatakiwa kuwa serious kwenye mambo ya msingi.

Baadaye muanze kulalamika kuwa mambo yenu hayatimizwi. Yatatimizwa vipi hamwoneshi kuwa serious. Unapataje muda wa kutabasamu katika hali ya kizungumzuki kama hii kwenye nchi.

View attachment 2233089

View attachment 2233091
Ushuzi
 
Mbowe ana furaha anajua katiba itapatikana kabla ya uchaguzi Mkuu!!ni ccm ndio inaenda kupoteza dola huko MBELENI!!!
Unaota mafi mafi wewe, nenda ukanye kwanza.
Kwa upinzani huo ccm mtaiona inapiga matarumbeta tu daily.
 
Unafikiri kuitwa Ikulu ni jambo dogo, Ikulu ni office kuu ya nchi, sasa ulitaka anune ili akufurahishe ndugu ?
 
Back
Top Bottom