Ona sasa... inakuuma jamaa kutoka na Zari... omg... Wakati wewe inakuuma Chibu kutoka na Zari, wanaume wa ukweli wanaona is none of yours business... halafu unasema nakuwa kama nimeachika... ni nani kati yetu anayeumia kuona jamaa anatoka Zari? Pole sana, jamaa ndo hivyo tena keshaamua... sina namna nyingine ya kukusaidia... endelea kulia wivu!!!