Tizama waandishi wa Uganda Wanavyomuandika Diamond

Tizama waandishi wa Uganda Wanavyomuandika Diamond

waafrica, dormant mind,sikuhizi kina baba wanabeba watoto wanapeleka clinic,acheni ujingakupeba mkoba mnasema je akiwabeba watoto wa zari si mtapasuka?
 
hawa kwa vile wako ng'ambo darling akibeba handbag ya sweetie its ok lakini Africa unakua mtumwa. Uswahili kitu kibaya sana. My hubby always carry my handbag, na sijamfanya mtumwa
Da Asia he feels that it's his obligation au? am just curious! coz am trying to imagine what if he doesn't one day, how do you feel?
Yes, it's not our culture ndo maana najaribu kuwaza hivyo
 
Last edited by a moderator:
Vigazeti pendwa vya uganda vilikua having news kibisaa za kusisimua.sass naona kaka chibu na bossy lady kwenye project yao kawaibua.angalau wanaanza kupata cha kuandika. wanazidi kupaa.soon tutegee mashow ya kufa MTU kwa kijana wetu ug..big up chibu.chapa isimame adi lyamba
 
This means business home boy........salute to yah! keep on shinning
 
holding-purse-top-pony.jpg

kumbe sio wakwanza
 
Mie nambebea mpenzi wangu mkoba mara nyingi tukiwa out. Naye hunibebea laptop mara zote. Ni mahaba. Kama nyie waandishi uchwara hamjui raha ya mahaba Kako.Jo.Eni mlale
 

Diamond Platinumz Turned Into Slave


attachment.php

Tanzanian singer Diamond Platinum’s singing career is in jeopardy following his intimacy with Kampala’s top socialite, desert queen, bed hopper and man snatcher Zari Hassan.

The singer is currently Zari’s potter, since he is always the one carrying her bags.The couple has been on a visit in Rwanda recently, but Diamond could not get a grip of excitement since he was always carrying Zari’s bags.

Diamond managed to stage a successful concert in Kigali after an enormous crowd showed up for the show.
While in Rwanda, Zari managed to release some drops of water though it was through her eyes.

This was when they visited the Kigali genocide memorial centre where they saw disturbing pictures of the massacre.

Diamond fell in love with Zari after he had a complicated relationship with his former girlfriend Wema Sepetu who is currently on the hunt for a bonkmate.(QUOTE )

uso wa nyoka

Whats wrong with Ugandan journalists? Can't they find something more interesting to report? Whats wrong with a man carrying his woman's bag?
Bed hopper or not, she remains a woman and whats more, a beautiful woman who can make any man proud to have her!
From the way this report was written, I smell envy and personal grudges and nothing more! Go Diamond, that woman deserves a man who cares, do not listen to what everybody says as long as you two are happy together!
 
hawa kwa vile wako ng'ambo darling akibeba handbag ya sweetie its ok lakini Africa unakua mtumwa. Uswahili kitu kibaya sana. My hubby always carry my handbag, na sijamfanya mtumwa

Uswahili sio ishara ya tabia mbovu...ungesema ushamba ungeeleweka maana ushamba hauna kwao...
 
Kumbe kuli si msukuma mikokoteni tu, hata mbeba pochi/mikoba ya kike pia anahesabika ni kuli. Pouuwa sana, ila dogo kazi anayo!
 
Back
Top Bottom