TL na JP Tutawafanyia Mdahalo kwa lugha yakingereza ili kupata kufahamu uwezo wenu

TL na JP Tutawafanyia Mdahalo kwa lugha yakingereza ili kupata kufahamu uwezo wenu

Hata Kiswahili mtihani sembuse Kiingereza!
Miaka zaidi ya 17 uko darasani ukifundishwa, kusoma na kujibu kwa Kiingereza halafu leo huwezi Kiingereza.
Unajitetea mbona Wachina hawawezi Kiingereza na wengine ni Wahandisi wazuri wa Madaraja na malengo.
Huyo Mchina amesoma kwa lugha gani?
Sema tu kuongoza Afrika ni simple, hakuhitaji kuwa na akili nyingi
 
Na wasikilizaji je, watakuwa Waingereza pia? Isitoshe wewe mwenyewe na Babako hamjui hicho Kiingereza sasa itakuwaje?

Low IQ!
 
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,

Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Mpuuzi mmoja!
Nani kasema kuongea kiingereza ndio kuwa na knowledge kubwa
 
JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,

Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Hicho kiingereza ndio kimeleta std geji? stigilaj goji etc?
 
Aibu kubwa mtoa mada alitarajiwa kuungwa mkono upuz wake naona haamini anachokiona
 
Apo kuna watu utajua kuwa wana Degree za kikuda
 
Aibu kubwa mtoa mada alitarajiwa kuungwa mkono upuz wake naona haamini anachokiona
 
Back
Top Bottom