babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Cdm nao tutawafanyia kwa lugha ya kichaga. Tupate uzoefu wa kuwapata wabunge viti maalumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Lugha sio kipimo cha Elimu,toa hii mada hapa maana watu wanaona kama umejipaka mavi usoniJP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Mi nilidhani huu upuuzi kuwa ukijua kizungu basi una akili/ maarifa mengi ulishatokomezwa..kumbe kuna watu wazima bado wanaamini hivyo.Aibu kubwa mtoa mada alitarajiwa kuungwa mkono upuz wake naona haamini anachokiona
We jamaa masaburi sana, sasa English inahusiana vipi na uwezo wa kuongoza nchi?JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
Sasa knowledge unaipataje Kama lugha ya kupatia knowledge huijui?English = knowledge? Utakuwa umebanwa na mavi wewe.
Naunga mkono hoja, na msije mkahamisha magoli.Midahalo ihusu kwanza ndani ya vyama vyao wamefanya nini.Kabla kutushawishi tuwape taifa la Tanzania kuliongoza.
kwani english ndio knowledge yenyewe ? unaelewa maana ya knowledge?Sasa knowledge unaipataje Kama lugha ya kupatia knowledge huijui?
CCM hatuhitaji midahalo .Tunachapa kazi ,kazi ndio inaamua tupewe uraisi au tusipewe sio midahalo.nyie msio na cha kuonyesha kwa wananchi hamna hata jengo lenu la makao makuu ndio mnategemea kuchonga tu mdomo kwenye midahalo because you have nothing to showHapo Mwenyekiti wangu Magufuli lazma akatae huo mdahalo. Ndio maana kimataifa tumefeli awamu hii.
Utasikia lile jamaa linasema "sijui ingrishi..."JP na Tl , Tuwafanyia mdahalo ili kuweza kupata , lengo na dhumuni lakuitaka nafasi hii nyeti ya JMT ,
Nb mdahalo utaongozwa kwa lugha ya Kingereza tupu.
"Mahouse girl hawajui kusoma wala kuandika ila wanaongea kingereza kizuri " Vipi kwa waliosoma mpaka PhD kwa kingereza na kingereza hawakijui? Huoni tatizo hapo?Mahouse girl wa Malawi msasani wanaongea kingereza kizuri kuliko Cha Tundu Lisu na hawajui kusoma Wala kuandika
Acha kiherehereEnglish = knowledge? Utakuwa umebanwa na mavi wewe.
Mpewe wangapi???? Anaepewa ni Magufuli.... We kaa kwa kutuliaCCM hatuhitaji midahalo .Tunachapa kazi ,kazi ndio inaamua tupewe uraisi au tusipewe sio midahalo.nyie msio na cha kuonyesha kwa wananchi hamna hata jengo lenu la makao makuu ndio mnategemea kuchonga tu mdomo kwenye midahalo because you have nothing to show