TLP Tanzania: Tunaungana na Watanzania kumpongeza Rais Samia kwa kununua Pamba "Cash" na kuongeza bei kwa 125% FY2021/22

TLP Tanzania: Tunaungana na Watanzania kumpongeza Rais Samia kwa kununua Pamba "Cash" na kuongeza bei kwa 125% FY2021/22

Anayempinga Samia anatatizo binafsi,

Kilimo kinategemewa na watu zaidi ya 85%

Wakulima wako zaidi ya 65%

Ukikipa nguvu kilimo maana yake unawapa nguvu watu zaidi ya 90% wanaoishi Tanzania,




Huyu mama ni habari nyingine,

Hafokei wala hanyanyasi wananchi wake,
 
Tukiacha Roho mbaya Samia ni Rais wa mfano Africa,

Haya matuc anayotukanwa angekuwa Hayati hii nchi watu kibao wangeshapotea,
 
Mama anastahili pongezi kwa kasi hii wakulima watanufaika sana, hapa kaucheza mwingi sana na sifa zake apewe.
 
Watanzania wengi ni vichwa boga. Current issues zote bado zinatokana na impact ya miaka kadhaa nyuma period . Tangu mwaka juzi waziri mkuu anafanyia KAZI suala la pamba
 
Njaa mbaya sana,mnajitahidi sana kuimba nyimbo na kuabudu na kusifu lakini ukweli mnao,teuzi zilishaisha huyu mwanamke alistahili kuwa mjumbe wa nyumba 10 na si pale alipo kwa sasa!
 
SikuRais Samia anaingia usukumani sipati picha mapokezi yake,

Wamefurahi mno kwa inshu hii ya pamba,
 
UPUUZI MTUPU!
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA SAMIA|SAMIA,NASISI TLP TUNAUNGANA NA WATU HAWA,

Ndg Wananchi,

Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% licha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1.050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingekuwa ni Tshs 1,050/kg,Nidhahiri hapa Mama Samia kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho, Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee na tumuunge mkono kwa Umoja wetu"

Sisi ni nani tusione haya na kupongeza,

Tunafahamu, Rais Samia amefanya mambo matatu makubwa ambayo TLP tumeyapigania kwa muda mrefu,

1. Kuondoa Urasimu pamoja na jumla ya tozo 232 kwa Wafanya biashara wote wakiwemo hawa wa Pamba,

2. Amepunguza faida kwa Wanunuzi wa Pamba,

3. Ameongeza Wanunuzi Wa Pamba kufikia 30.

TLP - Tanzania Kwanza
 
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA SAMIA|SAMIA,NASISI TLP TUNAUNGANA NA WATU HAWA,

Ndg Wananchi,

Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% licha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1.050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingekuwa ni Tshs 1,050/kg,Nidhahiri hapa Mama Samia kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho, Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee na tumuunge mkono kwa Umoja wetu"

Sisi ni nani tusione haya na kupongeza,

Tunafahamu, Rais Samia amefanya mambo matatu makubwa ambayo TLP tumeyapigania kwa muda mrefu,

1. Kuondoa Urasimu pamoja na jumla ya tozo 232 kwa Wafanya biashara wote wakiwemo hawa wa Pamba,

2. Amepunguza faida kwa Wanunuzi wa Pamba,

3. Ameongeza Wanunuzi Wa Pamba kufikia 30.

TLP - Tanzania Kwanza
Tazama Lofa na Pumbafu - TLP ...
 
Back
Top Bottom