TLP: Tunampongeza Rais Samia kwa kuondoa VRF ya 6% kwenye HESLB pamoja na mkopo wa bilioni 106 kwa wanafunzi elfu 10 walionyimwa






" Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
 
Tunaondoa tozo kwa watu wenye vipato vya uhakika tena walisoma kwa fedha za kununulia vifaa vya kujifungulia waja wazito, halafu munaweka tozo kwa watu wanao tumiwa nauli na yakutolea
 
Mungu tunajua Upo,Msimamie mama huyu kila maadui watafunane wenyewe
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 
Rais Samia ni mpango halisi wa Mungu,Mungu wetu hakawii wala hawai ni huyuhuyu tumepewa tumlinde,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…