Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nani kakukataza kusema? Sema, lakini usimpangie Mwabukusi cha kusema.Kwa hiyo sisi tukiona mambo ya Simba na Yanga ni sawa tusiseme?
Mwabukusi mbona kwenye horodha ya Muliro sikusikia jina lake likitajwa kuwa yeye ni mmoja kati ya wale 14?, au Muliro alimsahau?NAKAZIA📌
Hata hivyo Mashaabiki kindakindaki wa mpira hasa wa Simba na Yanga wengi au wote ni vichwa Panzi wakiongozwa na wewe muandishi.
Na mnajulikana kwa kutamba na kuzurura hovyo na Jersey utafikiri mnaiishi uwanjani muda wote.
Nchi ina mengi ya kujadili sio huo uchizi wenu kila dakika utasikia Tumesajili..., Nimemfunga mflan..., Goli la Mama..., Mobeto vile... na upuuzi mwingine.
#STUPID.
Mwabukusi mbona kwenye horodha ya Muliro sikusikia jina lake likitajwa kuwa yeye ni mmoja kati ya wale 14?, au Muliro alimsahau?
wewe naye ni wale wale wa kutembea uchi kwa sababu ya utopolo na makoploLeo kweli umeongea points za maana. Mwambukusi nae Leo kateleza sana. Soka itabaki soka na siasa zitabaki siasa.
Siasa ya Tanzania kwa pande zote, sio nzuri. Kwa, upinzani vyama ni vya watu binafsi. Mfano CUT, Lipumba mpaka Leo ni mwenyekiti zaidi ya miaka 25 iliyopita. CDM Mbowe pia ni mwenyekiti wa kudumu. ACT wazalendo pia ni cha Zitto.
Upande wa CCM pia bado kuna kasoro nyingi. Watanzania sio wajinga washabikie siasa za kijinga huku baadhi ya watu wakijinehemesha.
Simba na Yanga ni timu au makundi ya Watu yaliyoundwa na CCM kimkakati ili iweze kueneza propaganda ya kuwapumbaza Watu kwa nia ovu ya kuinufaisha kisiasa Ccm.Nimeona Rais wa TLS akiwa anahojiwa na chombo cha habari akiwatusi watanzania kwamba wanafuata mambo ya hovyo na yasiyo ya maana, na akatoa mfano wa watanzania kuwa na mapenzi na simba na yanga kiasi kwamba wanaweza kutembea uchi
Hii ni dharau kubwa kwa klabu hizo ambazo zimejijenga kwa miaka mingi katika mioyo ya watanzania. Kama wao wanathamini demokrasia, kwa nini wanadharau machaguo ya watanzania na kuwapangia maisha?.
Pia mashabiki wa timu hizo ni watu wazima kiumri, kusema kwamba wanaweza kutembea uchi ni dharau kubwa nyingine kwa watu wa umri wa wazazi wake
Nani kawazuio wasiimarishe vyama vyao ili wananchi wavipende? Yaani watu hata harusini, mpirani, disco wasiende?
Nalaani sana kauli ya TLS kwa kuwa iko chini ya kiwango na inapaswa kulaaniwa na kila mzalendo, mwanamichezo wa nchi hii.
N. B:
Hata Mwabukusi hakuandamana, ila alitaka wengine waandamane, chichi dodo
Kwa hiyo nitembea uchi kwa ajili ya Nkurunzinza Mbowe?Nitakuwa mpumbavu wa, ahead.wewe naye ni wale wale wa kutembea uchi kwa sababu ya utopolo na makoplo
JESUS IS LORD
Ndugu yangu utakuwa umejichanganya, hakuna sehemu jamaa amesema simba SC wala Young SC.Nimeona Rais wa TLS akiwa anahojiwa na chombo cha habari akiwatusi watanzania kwamba wanafuata mambo ya hovyo na yasiyo ya maana, na akatoa mfano wa watanzania kuwa na mapenzi na simba na yanga kiasi kwamba wanaweza kutembea uchi
Hii ni dharau kubwa kwa klabu hizo ambazo zimejijenga kwa miaka mingi katika mioyo ya watanzania. Kama wao wanathamini demokrasia, kwa nini wanadharau machaguo ya watanzania na kuwapangia maisha?.
Pia mashabiki wa timu hizo ni watu wazima kiumri, kusema kwamba wanaweza kutembea uchi ni dharau kubwa nyingine kwa watu wa umri wa wazazi wake
Nani kawazuio wasiimarishe vyama vyao ili wananchi wavipende? Yaani watu hata harusini, mpirani, disco wasiende?
Nalaani sana kauli ya TLS kwa kuwa iko chini ya kiwango na inapaswa kulaaniwa na kila mzalendo, mwanamichezo wa nchi hii.
N. B:
Hata Mwabukusi hakuandamana, ila alitaka wengine waandamane, chichi dodo
Sasa mtoto mrembo kama wewe tutaacha wapi kukujua?Dada angu kwani unatujua kwa sura?