Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Umefanya utafiti lini na sample yako ni nini?Hakuna Law Bar association Duniani inaenda kuomba msaada Serikalini, hii ni Tanzanzania pekee, fuatilia ujue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umefanya utafiti lini na sample yako ni nini?Hakuna Law Bar association Duniani inaenda kuomba msaada Serikalini, hii ni Tanzanzania pekee, fuatilia ujue.
Naunga mkono hojaUkifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.
Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.
View attachment 3224543
Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.
Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?
Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.
Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Jamaa wewe ni mjinga sana. Huwezilazimisha mazingira ya kijinga uyalete Tanzania. Nenda huko kenya unakosema kuna law bar association yenye msimamo kama wameweza kuondoa ukabila na rushwa. Usiwe mjinga mjinga wa kudhani kila kitu ni harakati. Law bar yetu watanzania lazima ishirikiane na serikali maana tukiwa maadui na serikali itasaidia nini???? Serikali na tls wote tunafanya kazi kwa lengo la kuiletea nchi yetu maendeleo, leo eti mnataka tuanze kuitukana serikali, jinga kabisa wewe.Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.
Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.
View attachment 3224543
Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.
Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?
Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.
Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Wewe Chawa huna unacho jua,Jamaa wewe ni mjinga sana. Huwezilazimisha mazingira ya kijinga uyalete Tanzania. Nenda huko kenya unakosema kuna law bar association yenye msimamo kama wameweza kuondoa ukabila na rushwa. Usiwe mjinga mjinga wa kudhani kila kitu ni harakati. Law bar yetu watanzania lazima ishirikiane na serikali maana tukiwa maadui na serikali itasaidia nini???? Serikali na tls wote tunafanya kazi kwa lengo la kuiletea nchi yetu maendeleo, leo eti mnataka tuanze kuitukana serikali, jinga kabisa wewe.
Wabongo ni wanafiki sana, huyu Mwabukusi mlimsifia sana humu na kumuimba kwa sifa na mapambio kisa tu alikuwa akionekana kuwa upande wa upinzani sasa mnaanza kulialia tena
Ulitarajia awe vipi mkuu.Jamaa kawa wa tofauti na mararajio ya wengi
Huyo ndo bule kabisa keshaanza kujichanganya tiari!Hata Lisu hatafanya la ajabu
Tena ni asali ya kibuyu cha bandari maana ile kesi yao haisikiki kabisaHii dhariri Mwambu amelambambishwa asali
This is typical personal attackMwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Kwenye mahakama zipi, hizi hizi zenye kesi ya kina Mdee mwaka wa nne huu.Kabaki na kazi moja tu anayoiweza, kumpigia mayoe Dr Slaa mitandaoni, mahakamani mweupe kabisa
kabisaHii dhariri Mwambu amelambambishwa asali
Ila kwa taasisi kama ile ni full aibuTanzania yote ni nchi ya lia lia hayo makundi yana reflect jamii nzima ya Watanzania,hivyo unacho kiona kwenye TLS ndo uhalisia wa maisha ya nchi hii.
Na Rais wake ndo alijipambanua kuleta uhuru wa TLS kwakisema wanachama wanatosha sana kuiendesha TLS na si serikali Leo wanarudi kule kule!! Nimegundua wanasheria wa Tanzania wana thinking ya Kitoto sana ndo maana wana mihemko ya kipumbavu.Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.
Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.
View attachment 3224543
Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.
Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?
Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.
Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Hamia kwenye hizo nchi.Hakuna Law Bar association Duniani inaenda kuomba msaada Serikalini, hii ni Tanzanzania pekee, fuatilia ujue.