TLS wao kila siku ni kulia na kuomba misaada kwa Rais, Law Bar za nchi nyingine hazina huu ujinga

TLS wao kila siku ni kulia na kuomba misaada kwa Rais, Law Bar za nchi nyingine hazina huu ujinga

Wabongo ni wanafiki sana, huyu Mwabukusi mlimsifia sana humu na kumuimba kwa sifa na mapambio kisa tu alikuwa akionekana kuwa upande wa upinzani sasa mnaanza kulialia tena
 
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.

Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.

View attachment 3224543

Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.

Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?

Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.

Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Naunga mkono hoja
P
 
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.

Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.

View attachment 3224543

Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.

Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?

Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.

Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Jamaa wewe ni mjinga sana. Huwezilazimisha mazingira ya kijinga uyalete Tanzania. Nenda huko kenya unakosema kuna law bar association yenye msimamo kama wameweza kuondoa ukabila na rushwa. Usiwe mjinga mjinga wa kudhani kila kitu ni harakati. Law bar yetu watanzania lazima ishirikiane na serikali maana tukiwa maadui na serikali itasaidia nini???? Serikali na tls wote tunafanya kazi kwa lengo la kuiletea nchi yetu maendeleo, leo eti mnataka tuanze kuitukana serikali, jinga kabisa wewe.
 
Jamaa wewe ni mjinga sana. Huwezilazimisha mazingira ya kijinga uyalete Tanzania. Nenda huko kenya unakosema kuna law bar association yenye msimamo kama wameweza kuondoa ukabila na rushwa. Usiwe mjinga mjinga wa kudhani kila kitu ni harakati. Law bar yetu watanzania lazima ishirikiane na serikali maana tukiwa maadui na serikali itasaidia nini???? Serikali na tls wote tunafanya kazi kwa lengo la kuiletea nchi yetu maendeleo, leo eti mnataka tuanze kuitukana serikali, jinga kabisa wewe.
Wewe Chawa huna unacho jua,
 
Wabongo ni wanafiki sana, huyu Mwabukusi mlimsifia sana humu na kumuimba kwa sifa na mapambio kisa tu alikuwa akionekana kuwa upande wa upinzani sasa mnaanza kulialia tena

Sijawahi msifia Mwambukusi,
 
Hii dhariri Mwambu amelambambishwa asali
 
Kabaki na kazi moja tu anayoiweza, kumpigia mayoe Dr Slaa mitandaoni, mahakamani mweupe kabisa
Kwenye mahakama zipi, hizi hizi zenye kesi ya kina Mdee mwaka wa nne huu.
 
Tanzania yote ni nchi ya lia lia hayo makundi yana reflect jamii nzima ya Watanzania,hivyo unacho kiona kwenye TLS ndo uhalisia wa maisha ya nchi hii.
 
Ukifuatilia hata Law Bar Associations ya Rwanda tu utagundua huwezi wakuta wanaenda kulia lia kwa Kagame mara wapewe Gari mara Kagame awwpunguziwe Kodi, nenda Law Bar ya Uganda huwezi kuta huu ujinga wa kwenda kuomba msaada kwa Mseveni.

Njoo sasa kwa Law bar association ya Kenya, ile ndio imepinda kisawa sawa chini ya MWanamke mmmoja jivi alie pinda hasa. Huwezi wakuta wanaenda kumpigia Ruto Magoti na kulia lia mara wapewe Gari na Ruto.

View attachment 3224543

Hii Law Bar association ya Tanzania haina tofauti na Chama cha Walimu au hata TUKUTA, daily wakipata chansi ya kukutana na Rais ni kulia lia shida tu.

Sasa kama Wanasheria wananenda kulia shida kwa Raisi mara wapunguziwe Mzigo wa kodi, Mara Gari, vipi wataweza pambana na uvunjivu wa haki katika nchi hii? Vipi raia wa kawaida nani atenda kuwaliliwa wapunguziwe mizgo wa kodi?

Mwamabukisi ni kama alisha lishwa asali kitambo sana angalia alivyo kuwa moto na alivyo sasa hivi. Kimya.

Mwambukusi aliongoza kampeni ya kumnanga sana Mbowe kwamba ni mlaini sana kwa Raisi, ila yeye hajioni kabisa, Nyani haoni Kundule lake.
Na Rais wake ndo alijipambanua kuleta uhuru wa TLS kwakisema wanachama wanatosha sana kuiendesha TLS na si serikali Leo wanarudi kule kule!! Nimegundua wanasheria wa Tanzania wana thinking ya Kitoto sana ndo maana wana mihemko ya kipumbavu.
 
Back
Top Bottom