TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam

TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam

e49ff634-9592-4fa0-9e9d-bbe471b776b1.jpeg
 
Duuh, aisee sio kwa ubaya lakini hii ni non sense kabisa, kwamba unataka kusema kisa ni amri ndo wafanye hivyo?🤔. Unalichukulia jambo kiwepesi sababu hayajamkuta mtu unayemfahamu, ingekua uyo dada ni ndugu yako sidhani kama ungewaza ayo mambo ya uhalali na uchwara mwingine unaojaribu kuutetea. NON SENSE​
Nafikiri bado haujaielewa mantiki ya Hoja yangu, ukweli ni kwamba, utendaji wa kazi za kijeshi upo katika mifumo ya amri kutoka juu kwenda chini, and not otherwise.

Nikuulize swali, Unafikiri zile maiti zilizokuwa zikiokotwa zikiwa kwenye viroba unadhani watekelezaji wa vitendo viovu kama vile walijiamulia wao wenyewe binafsi bila kupata baraka kutoka kwa wakubwa zao?? Unafikiri wangebaki salama kama vitendo hivyo walifanya bila kupata idhini kutoka kwa wakubwa zao??????
 
Back
Top Bottom