TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam

TLS Yalaani Vikali Udhalilishaji na Ukatili wa Kijinsia wa Binti kutoka Yombo Dovya, Dar es Salaam

Lawyers wakiamka na kuanza kufuatilia ukiukwaji wa sheria na kutaka wahusika kuchukuliwa hatua, then tutabadilika. Lakini inatia kichefucefu unaposikia wakili msomi ndio anaungana na wapigaji kuhalalisha uvunjifu wa sheria? Inadhalilisha mno fani.
Kwa hili la huyu binti, naunga mkono hoja
Hao wahalifu wakipelekwa mahakamani, Kibatala lazima atakwenda kuwatetea,kuna mawakili wengine wao wanaangalia mshiko tu hata huruma hawana,yaani wao wanajisikia rahaa kutetea wahalifu huko mahakamani kisa pesa!!
 
Mie niko tofauti kidogo.
Kwani huyu binti kasema nini mpaka saizi?

Jamaa waliokamatwa je wao wamesema vipi?

Hili jambo linahitaji utulivu, watu wanalipapatikia kihisia sana na hili ndio tatizo la kulelewa na singo mama, wana judge mambo kwa feelings kuliko kufikiri hata kidogo.

Vipi kama ikija kujulikana wote kwa pamoja(majamaa na mdada)waliamua kurekodi video kwa hiyari yao, ila wakaamua kuigiza kama binti anashurutishwa??? Labda kwa lengo fulani kama kutafuta Kiki???

Siungi mkono matendo ya namna hiyo lakini tusubiri kidogo uchunguzi ndio tuongee.

Watu wamelipokea hili tukio kwa hisia sana(singo mama product) hivyo kila mtu anatoa matamko tu kana kwamba imethibitika ni ukweli.

Mara ngapi tunaonaga video za x unakuta mwanamke anashurutishwa kweli kweli lakini mwisho wa siku unaona ni maigizo tu.
Tanzania hatujafikia huko,lazima tulaani hata kama ni video ya hiari hayo sio maadili yetu
 
Mimi nilivyosikia tu mtoto mmoja wa ndugu yangu mmoja wa mbali katakiwa pesa Ili aingie jeshini na aliyemuambia hivyo ni polisi tena yeye aliingia na almost milioni mbili kasoro nikaona kabisa hapa hatuna wanajeshi tena, si JWTZ, PT na wengineo almost ni watu wasiojitambua vizuri, sitashangaa kama nchi tukifeli vibaya kiusalama, kiuwajibikaji baada ya miaka Ishirini ijayo maana wazee wa connection ndiyo watakuwa wapo kwenye vyeo vya juu.

Ipo haja ya viongozi wa jeshi wa Sasa hivi kufanya namna ya kutibu hili tatizo, tunajua na nyinyi mna maslahi yenu lakini sio Kwa hichi kinachoendelea, yaani mtu wa usalama ndo wa kufanya mambo kama hayo kweli?.
 
Video hii imesikitisha watu wengi sana, narudia tena kama wale vijana ni wanajeshi kweli basi CDF aangalie sana nidhamu za vijana wake.

Kama kweli ni wajeda wale unaanzaje kuwapeleka front line askari wasio na discipline?
Kuna shida kwa wanajeshi wengi kujiona wako juu ya sheria na kufanya lolote lile.
Jeshi la polisi limepewe mamlaka Kwa kushirikiana na MP's kudeal na askari wote wasio na nidhamu uraiani kuu.
 
Mie niko tofauti kidogo.
Kwani huyu binti kasema nini mpaka saizi?

Jamaa waliokamatwa je wao wamesema vipi?

Hili jambo linahitaji utulivu, watu wanalipapatikia kihisia sana na hili ndio tatizo la kulelewa na singo mama, wana judge mambo kwa feelings kuliko kufikiri hata kidogo.

Vipi kama ikija kujulikana wote kwa pamoja(majamaa na mdada)waliamua kurekodi video kwa hiyari yao, ila wakaamua kuigiza kama binti anashurutishwa??? Labda kwa lengo fulani kama kutafuta Kiki???

Siungi mkono matendo ya namna hiyo lakini tusubiri kidogo uchunguzi ndio tuongee.

Watu wamelipokea hili tukio kwa hisia sana(singo mama product) hivyo kila mtu anatoa matamko tu kana kwamba imethibitika ni ukweli.

Mara ngapi tunaonaga video za x unakuta mwanamke anashurutishwa kweli kweli lakini mwisho wa siku unaona ni maigizo tu.
Ugreat sinker ukizidi bna.

Sio kila jambo lazima uwe tofauti na wengi ndo uonekane umewaza nje ya box.
Video umeiona??

Sheria inasemaje kuhusu ngono za namna ile??
Kwa hali ilivyo pale ni sahihi hao vijana wa JW kufanya walichofanya??

Hata ikiwa ni maigizo still bado sio sahihi, hukumu za watu unazoziita za kihisia bado ziko sahihi vijana ni wa hovyo.
 
Ugreat sinker ukizidi bna.

Sio kila jambo lazima uwe tofauti na wengi ndo uonekane umewaza nje ya box.
Video umeiona??

Sheria inasemaje kuhusu ngono za namna ile??
Kwa hali ilivyo pale ni sahihi hao vijana wa JW kufanya walichofanya??

Hata ikiwa ni maigizo still bado sio sahihi, hukumu za watu unazoziita za kihisia bado ziko sahihi vijana ni wa hovyo.
Swali kwako, wewe umethibitisha vipi kwamba binti amelazimishwa?

Vipi kwa mfano mahakama ikaja kusema labda hakubakwa, yalikua makubaliano yao wenyewe, (sisemi kwamba hawatahukumiwa kwa makosa mengine mf kujirekodi), ila kosa mama linalowafanya mshipaze shingo. Ikaonekana jamaa hawana hatia itakuaje?

Kwa hiyo kuliko kupiga makelele ni bora tukae kimya tuvipe muda vyombo vyetu vya usalama vichunguze, halafu majibu yakija ndio tuchague kushupaza shingo au
 
Swali kwako, wewe umethibitisha vipi kwamba binti amelazimishwa?

Vipi kwa mfano mahakama ikaja kusema labda hakubakwa, yalikua makubaliano yao wenyewe, (sisemi kwamba hawatahukumiwa kwa makosa mengine mf kujirekodi), ila kosa mama linalowafanya mshipaze shingo. Ikaonekana jamaa hawana hatia itakuaje?

Kwa hiyo kuliko kupiga makelele ni bora tukae kimya tuvipe muda vyombo vyetu vya usalama vichunguze, halafu majibu yakija ndio tuchague kushupaza shingo au
Ndio maana nikakuuliza video umeiona??
Yaani hata kutoa maoni yangu kwa kile nilichoona unaona sio sawa, kwanini??

Maoni yetu hapa jf hayatumiki kama ushahidi mahakamani, wewe andika kile umeona, umehisi au kile unaona ni sahihi kwako, hukatazwi na mtu yeyote ndgu na wala sio tatizo.
 
Swali kwako, wewe umethibitisha vipi kwamba binti amelazimishwa?

Vipi kwa mfano mahakama ikaja kusema labda hakubakwa, yalikua makubaliano yao wenyewe, (sisemi kwamba hawatahukumiwa kwa makosa mengine mf kujirekodi), ila kosa mama linalowafanya mshipaze shingo. Ikaonekana jamaa hawana hatia itakuaje?

Kwa hiyo kuliko kupiga makelele ni bora tukae kimya tuvipe muda vyombo vyetu vya usalama vichunguze, halafu majibu yakija ndio tuchague kushupaza shingo au
Ndio kalazishwa na ndioo maana mwisho wakamwambia aombe msamaha Kwa mwenye mume wake aliyetembea nae.
 
Ndio maana nikakuuliza video umeiona??
Yaani hata kutoa maoni yangu kwa kile nilichoona unaona sio sawa, kwanini??

Maoni yetu hapa jf hayatumiki kama ushahidi mahakamani, wewe andika kile umeona, umehisi au kile unaona ni sahihi kwako, hukatazwi na mtu yeyote ndgu na wala sio tatizo.
Na ndio nilikua naandika kile ninachoona ni sahihi kwangu.
 
Back
Top Bottom