Duuh, aisee sio kwa ubaya lakini hii ni non sense kabisa, kwamba unataka kusema kisa ni amri ndo wafanye hivyo?🤔. Unalichukulia jambo kiwepesi sababu hayajamkuta mtu unayemfahamu, ingekua uyo dada ni ndugu yako sidhani kama ungewaza ayo mambo ya uhalali na uchwara mwingine unaojaribu kuutetea. NON SENSE