Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Mamlaka ya kupiga lamri chonganishiTaarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.
View attachment 1633464
Probability labda kwa TZ tu ,Nchi zilizoendelea wanatoa kitu 100% true!! Ndio maana ya sayansi ,wanasanyansi wanajua lini jua au mwezi utapatwa na kwakutumia uzoefu na calculation hizo hizo wanajua mvua itanyesha au haitonyesha!! Kwasasa TMA wanavyombo angalau vinaotea kwa 70%.Unajua maana ya probability!!?
mwenye hakika na jambo ni muumba tu..
binadamu uwezo wetu umeishia kwenye
Probability TAKE that
Imenyesha kidogo sana kuliko matarajioWakuu imenyesha au? wengine hatuko kwenye hilo jiji
Sante mkuu,[emoji120]Imenyesha kidogo sana kuliko matarajio
Nilikula ban kwa kumuita tototundu mwendawazimu😂😂Kwa bahati nzuri imeanza kunyesha hivyo tuwaombe radhi kwa kutowaamini. Ila nikupongeze kwa msimamo wako wakati wa kampeni una maono si kama hawa waliokuwa wanashabikia Tototundu mpaka @mshanajr akaniombea Ban kwa kutamka hadharani kuwa Tototundu ni mpumbavu maana anawadanganya watanzania
Uwezekano wa kutokea ni wastaniTaarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.
View attachment 1633464
Huu pia ni utabiri au facts?....Subirini jua Kali litakalotoka kuanzia SAA Tno asubuhi!![emoji16][emoji16]
Ingependeza sana umtunuku mkuu Behaviouristoooooh
Am grateful for the love
Leo umejibu maajabu ......!!!Mkuu seems like unanichukia kwa kifurushi cha mamilioni. Nakuombea amani ya moyo siku ya leo maana life is too precious to waste it on hating someone
Kwa mara ya kwanza leo nimeona reply yako miss, nimefurahi.Mkuu seems like unanichukia kwa kifurushi cha mamilioni. Nakuombea amani ya moyo siku ya leo maana life is too precious to waste it on hating someone
oooooh
Am grateful for the love
Hata mimi pia nampendaga Yeye analetaga habari yake na kaondoka zake pamoja yule mwenzie bethNampenda Miss Zomboko [emoji847][emoji847][emoji847]
Leo nashangaa sana ametoa comment kadhaa kwenye habari hii!Hata mimi Yeye analetaga habari you na kaondoka zake pamoja yule mwenzie beth
Mkuu seems like unanichukia kwa kifurushi cha mamilioni. Nakuombea amani ya moyo siku ya leo maana life is too precious to waste it on hating someone
Mdada leo unadekaa mwenyewe, leo kwa raha zako umecomment bila kupenda 😘oooooh
Am grateful for the love
Watu walimchokonoa makusudi. Haaaa haaaaLeo nashangaa sana ametoa comment kadhaa kwenye habari hii!
Acha zigo la BehaviouristLeo umejibu maajabu ......!!!
am sorry nimejaribu kukuprovoke nione matokeo....
nimefanikiwa..
manake ukishatoa habari zako hukoment kitu tena the whole thread
I love you so much.....
stay blessed...
Siliachi ng'o...Acha zigo la Behaviourist
Subiri kakangu Behaviourist aje utakomaSiliachi ng'o...