TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kunyesha leo

Unajua maana ya probability!!?
mwenye hakika na jambo ni muumba tu..
binadamu uwezo wetu umeishia kwenye
Probability TAKE that
Probability labda kwa TZ tu ,Nchi zilizoendelea wanatoa kitu 100% true!! Ndio maana ya sayansi ,wanasanyansi wanajua lini jua au mwezi utapatwa na kwakutumia uzoefu na calculation hizo hizo wanajua mvua itanyesha au haitonyesha!! Kwasasa TMA wanavyombo angalau vinaotea kwa 70%.
 
Hawa TMA tia maji tia maji sana, hamnaga kitu hapo
 
Nilikula ban kwa kumuita tototundu mwendawazimu😂😂
 
Uwezekano wa kutokea ni wastani
 
Mkuu seems like unanichukia kwa kifurushi cha mamilioni. Nakuombea amani ya moyo siku ya leo maana life is too precious to waste it on hating someone
Leo umejibu maajabu ......!!!
am sorry nimejaribu kukuprovoke nione matokeo....
nimefanikiwa..
manake ukishatoa habari zako hukoment kitu tena the whole thread
I love you so much.....
stay blessed...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…