secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
nitamzidi maarifa huyo.....Subiri kakangu Behaviourist aje utakoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitamzidi maarifa huyo.....Subiri kakangu Behaviourist aje utakoma
Jua kali sana leoTaarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.
Duuh kwahiyo jamaa wanakwenda kinyume...Jua kali sana leo
Hili Litakuwa la mvua tu, saa tisa au kumi mvua inaweza rudi. Hiki jua linavyochoma sio kawaidaJua kali sana leo
Kumbe unajua namna ya kureply? 🤣🤣🤣Mkuu seems like unanichukia kwa kifurushi cha mamilioni. Nakuombea amani ya moyo siku ya leo maana life is too precious to waste it on hating someone
ChakaahilooTaarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.