TMDA: Wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume watakufa

TMDA: Wanaotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume watakufa

Wanaume tukkutane hapa tujue tunafanyaje sasa
Kunywa chai ya tangawizi kali, kula samaki wenye madini mengi ya zinc kama pweza na supu yake, tumia vitunguu swaumu, kula ugali dona bila kusahau mbogamboga, kunywa juice ya staferi na juice ya tende pia changanya na maziwa fresh, mazoezi pia muhimu kwa afya yako.

Kwa uchache ukifanya hayo huitaji booster yoyote ambayo baadaye itakuletea ukhanisi tu.
 
Kunywa chai ya tangawizi kali, kula samaki wenye madini mengi ya zinc kama pweza na supu yake, tumia vitunguu swaumu, kula ugali dona bila kusahau mbogamboga, kunywa juice ya staferi na juice ya tende pia changanya na maziwa fresh, mazoezi pia muhimu kwa afya yako.

Kwa uchache ukifanya hayo huitaji booster yoyote ambayo baadaye itakuletea ukhanisi tu.
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.

Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.

Chanzo: Nipashe
Kwa hiyo katoa kabisa conclusion, yaani ni kufa tu hakuna namna nyingine.....
 
Maana halisi ya kufa kiume. Ndo kifo pekee ambacho kitawapata wanaume tu😀😀💪💪. Sio unakufa kwa vijisababu vya kike wakati wewe dume😀
 
Mbaya sana wanakufa Magestini wakisini na kufanya usarati! Mwee!! Setani anawangojea kwa hamu na uma wake wa kugeusia-geusia wa futi saba!
 
Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.

Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.

Chanzo: Nipashe
Sasa kwanini mnaziruhusu zinauzwa madukani? Tena ni maduka makubwa?
 
Back
Top Bottom